Kwa iyo kutoka na mme wa mtu ni bahati au uchuro?
Ni laana ujue kilio cha mke wa mtu hata kama ana madhambi kiasi gani Mungu anakipokea.
Kapata ajali, picha inatisha sana kwa kweli, kapasuka vbya mmg
waishie huko nkiamka na mzuka nafungua id mpya nawafollow tena ha ha ha teamking'ang'aniziHaaaaa we kama mimi.. nimeblokiwa na wengi saana, chagabibi, lemutuz, zari, jaydee.. ukiweka negativity unablokiwa
alikua kwenye part au home...mweh umbea complicated ha ha haKapata ajali, picha inatisha sana kwa kweli, kapasuka vbya mmg
amuite hata darling sio mchumbaNdio alikua anampa jeuri mjini jamani amwitejee tenaa
mi nacomment tu wakiniblock nafungua new idMimi nimeblockiwa na chagabibi na le mutuz.Wanapenda kusifiwa ukiwapa fact unablickiwa
Nipm baaasi.Nione.
waishie huko nkiamka na mzuka nafungua id mpya nawafollow tena ha ha ha teamking'ang'anizi
Yule mdogo mdog au? Mana niliona kuna mtu kamuweka kwenye profile pic yak
Za hasubuhi? Ndio natoka msibani tegeta nililala uko
Za hasubuhi? Ndio natoka msibani tegeta nililala uko
pole sana na lulu alikuepo?Za hasubuhi? Ndio natoka msibani tegeta nililala uko
Za hasubuhi? Ndio natoka msibani tegeta nililala uko
Hahahaaa,aisee nimecheka sana.Hivi hawa ndugu zetu hawawekagi hata akiba jamani? Wanawaza show off tu wakimwagwa wanaaibika.
pole sana na lulu alikuepo?
Tupe ubuyu