Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,488
nani kamchokoza huyo anatukosesha ubuyu qummmammamae
Mimi nakupiga ban.Umetukana.
nani kamchokoza huyo anatukosesha ubuyu qummmammamae
ha ha ha kwani litakua jambo geni kufiii ha ha ha
hata sijatukana mama hicho ni kitenzi kikurupushiMimi nakupiga ban.Umetukana.
Mods mpeni ban huyu katukana
Binamu, tunda ndie hako kabinti.
Kazuri kweli.Kuna kipindi kalikua kanachepuana na Chameleone kakatikisa ndoa ya watu.
Huyu ni mrithi halali wa Wema Sepetu.Nakwambia mwaka mmoja ujao atakuwa mbali kiskendo.
Tunda ni kitoto kidogo ambae Masogange ni sawa na Mama yake mzazi !
Ata bado hakijamaliza adolescense vizuri, nna wasiwasi kama wazazi wake wote wapo.
Na kama wapo nna wasi wasi na sehemu wanayotumia kufikiri kama sio katikati ya mwili upande wa nyuma!
![]()
![]()
Mdogo aseeh, yani hadi anatia hasira kwa kweli, nilimfollow instagram nika munfollow maana anatia hasira tu
Aiseeee kuzaa vitoto vizuri kama hivi ni hasara sana, usiombe mtoto mzuri kama huyu awe mwanao.Tunda ni kitoto kidogo ambae Masogange ni sawa na Mama yake mzazi !
Ata bado hakijamaliza adolescense vizuri, nna wasiwasi kama wazazi wake wote wapo.
Na kama wapo nna wasi wasi na sehemu wanayotumia kufikiri kama sio katikati ya mwili upande wa nyuma!
![]()
![]()