Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Daah! unaona sasa!
Sijui hawa dada zetu wanakula maharage ya wapi?
Hawafikirii kesho itakuwaje! No le akiliz!
Ona sasa amekuwa kama mtoto mdogo aliyevalishwa pampas, atabwaya bwaya tu!
Na hili liwe fundisho kwa wenzake
Hahahaaa,wanajali show off tu,no future.Madai yako eti wanakula ujana!