Masogange atimuliwa South Africa

Masogange atimuliwa South Africa

Mmmhh kazi yao kuuza nyago tuu kwenye mitandao wao hawaifikirii kesho itakuaje lol kazi ipop
 
Yupo huku bongo kwa ajili ya mapumziko? Kwani anafanya gani labda sauzi?

Maisha ya hawa jamaa bana
 
Nasikia lulu anataka kupokonywa magari ya aliyohongwa na marehemu yote yarudi kwa mkewe, kumbe diamond nae alipewa lile gari na jeusi BMW na seky, loh mwanaume anapendwa kuhongwa, nasikia na nyumba kamsaidia yeye kujenga

Apa nina list ya majina ya waliotoka na marehemu, sio wanawake sio wanaume hadi nabaki mdomo wazi na mdomo wangu unavyonuka sasa sitaki mie, nasubiria umbea wa jioni khaa

Yeah X6 ni ya marehemu Secky mkuu , Diamond ajipange sasa.
Hlf nina picha ya Lulu akiwa nyumba ya msiba.
 
Hvi huyu dada huwa ni msanii wa sanaa gani?maana sijawah kusikia nyimbo yake yoyote wala kumuona akiigiza.
 
The natural source of income......................

wpid-masogange1.jpg
 
warumi vipi tena mbona ban

Kumbe ndio maana naona amemiss kwenye mengi humu....yule ka vile mwandishi wa habari maana alisemaga mahala kujiweka katika kundi hilo....kweli nami na miss anayochangamsha humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom