Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,736
ha ha ha kumbe ni ng'ombe basi nikamulie lita 1Achana nae ng'ombe huyo
ha ha ha kumbe ni ng'ombe basi nikamulie lita 1Achana nae ng'ombe huyo
Hahahaaa,aisee nimecheka sana.Hivi hawa ndugu zetu hawawekagi hata akiba jamani? Wanawaza show off tu wakimwagwa wanaaibika.
ndo hiyo officialagnes siioni sijui ndo kaniblock...haipo
Haaa ulimfanyaje... kakublok hivo
JAMan nn tena? Ebu fanya bas ujue chanzo
ha ha ha tatizo la watu bana hawataki kurekebishwa yan wanachotaka akieka picha usifie tu hapo ndo wanapenda....nahisi niliguna kwny picha ake moja kapaka wanja hata hajapendeza nkaandika "mmh" ha ha ha nahisi hilo ndo kosa languHaaa ulimfanyaje... kakublok hivo
ha ha ha tatizo la watu bana hawataki kurekebishwa yan wanachotaka akieka picha usifie tu hapo ndo wanapenda....nahisi niliguna kwny picha ake moja kapaka wanja hata hajapendeza nkaandika "mmh" ha ha ha nahisi hilo ndo kosa langu
wanaume watamuogopa lulu...kama ni kweliNasikia eti mchumba wake amefariki anaitwa seki sasa sijui seki yupi @ms Lincoln warumi
Lulu kafanyaje jamani kafuta picha zote ig naona wengine wanampa pole ila hawasemi
namie king'ang'a aliniblock nkafungua id nyingine kaiblock tena...chagga aliniblock mange nae niliisema miguu yake akaniblock ha ha haHhhhaaa mi siku hiz sikoment niliona nitablokiwa mno nakoment nadra sana
namie king'ang'a aliniblock nkafungua id nyingine kaiblock tena...chagga aliniblock mange nae niliisema miguu yake akaniblock ha ha ha
Nasikia eti mchumba wake amefariki anaitwa seki sasa sijui seki yupi @ms Lincoln warumi
Lulu kafanyaje jamani kafuta picha zote ig naona wengine wanampa pole ila hawasemi
Live at my Office downtown Dar Tancot House 2nd FL kazi kama kawa maana Mwanaume ni kazi kwanza..ninasikitika sana kutangaza KIFO CHA GHAFLA cha Rafiki yangu wa karibu sana Super Bilionea Seky I am speechless Wiki mbili nzima zilizopita mara kwa mara tumekutana Mliman City na Tripple 7 Club...mara ya mwisho tulikuwa wote Jumamosi iliyopita mke wake alikuwa anaumwa sana tukaenda wote Baraka Plaza tuka kaa masaa mengi kumsubiria mke wake na leo Asubuhi Saa Tatu tumeongea sana kwenye simu kuhusu Viwanjani leo akaniahidi kunipigia back in One Hour twende wapi leo 1 hour ago nimepigiwa Simu kuwa amefariki ghafla....Ohh my God bado I am speechless ninamuombea sana mke wake na watoto katika hiki kipindi kigumu sana kwao this one really hurts Binadam tunapita tu hapa Duniani we are just weak creatures of God....I cry for U Seky a great human being MUNGU AMUWEKE PEMA PEPONI PLEASE PEOPLE LETS PRAY FOR MY SUPER FREIND AIMEEEN!;- le Mutuz
Live at my Office downtown Dar Tancot House 2nd FL kazi kama kawa maana Mwanaume ni kazi kwanza..ninasikitika sana kutangaza KIFO CHA GHAFLA cha Rafiki yangu wa karibu sana Super Bilionea Seky I am speechless Wiki mbili nzima zilizopita mara kwa mara tumekutana Mliman City na Tripple 7 Club...mara ya mwisho tulikuwa wote Jumamosi iliyopita mke wake alikuwa anaumwa sana tukaenda wote Baraka Plaza tuka kaa masaa mengi kumsubiria mke wake na leo Asubuhi Saa Tatu tumeongea sana kwenye simu kuhusu Viwanjani leo akaniahidi kunipigia back in One Hour twende wapi leo 1 hour ago nimepigiwa Simu kuwa amefariki ghafla....Ohh my God bado I am speechless ninamuombea sana mke wake na watoto katika hiki kipindi kigumu sana kwao this one really hurts Binadam tunapita tu hapa Duniani we are just weak creatures of God....I cry for U Seky a great human being MUNGU AMUWEKE PEMA PEPONI PLEASE PEOPLE LETS PRAY FOR MY SUPER FREIND AIMEEEN!;- le Mutuz