warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,466
- Thread starter
- #81
Kibatala anza kwa kufunga misikiti iliyokuwa imehifadhi magaidi, Kama kweli ulimaanisha ulicho ongea juzi, vinginevyo tuta jua kikwete anashirikiana na ninyi kutaka kuleta udini, amemsulubu sana Gwajima bila kosa vipi kwa misikiti iliyo hifadhi magaidi? Mmelenga kuleta machafuko kwa kuingilia Dino,ila mtapotea ninyi na familia zenu ila Tanzania itastawi
Kibatala ndo nani tena? Ebu tupe umbea vzur na kafanya nn