Tecno ndo nani tena? Ebu nitoe kiu binamu
Atajua mwenyewe ngoja ayaone sasa.Au aende kwa shoga yake chagga bibi wakajiuze wote maana hua naona tambo zao huko insta.
MWaka wake huu atajiju arudi mbeya akalime, binamu umeona tangazo la zari na diamond? Mmh mtoto mkali yule balaa, anavyoongea sasa mmh
Heaven on Earth nifah Dinazarde @ms lincoln geniveros Evelyn Salt kujeni uku mumpe pole shoga yenu yamemkuta makubwa
Imebaki historia tu, yeye alishindwa ata kufanya biashara uko akalipa kodi mpaka anafukuzwa? Mmh aibu sana huy mrembo akili hana, kapata bahati kachezea
Hata kama sijaitwa nimekuja.! Mfyuu zako binamu.
Tunda ndo habari ya mjini.Anakula bata mpaka na manyoya yake, nimemfollow IG.Na kweli kabisa anatoka na huyo said(Kipande cha mtu kama Le Bokoz)
Masogange anaumia sana mpaka alimjia juu said eti malaya sana kila alipomuuliza alisema tunda hatoki naye kumbe anatoka naye.Akajifanya anamwambia kuwa atamsemea kuwa yy muuza unga.
Atajiju na mitako yake mchina.Alidhan mitako ndo mwisho wa matatiz😵na sasa mtaro umezibuliwa bado said kakimbilia kwa kimbaumbau kama Dinazarde.
Mbona akikuaga anauza nguo akija huku?
Alafu jamani yule kaka mzurizuri alokua anapiga naye picha alikua nani yake? Mhuu matako haya yamekua adhabu.
Khaa!! Nilikutag binamu sema sijui nilikosea kuandika jina... loh huyo masogange kichwani hamnazo, yani anamuacha bonge la bwana anaenda kwa vuvuzela tunda? Mmh bora unyimwe kalio upewe akili
Hlo pepo lishindwe kabisa mtandao urudi au ndo mambo ya mb8 dada ake?
sheeeeeeee!!!acha nishangae kimasai kwanza...masogange alipost bonge la kitchen akaandika "i miss my kitchen" ha ha ha kumbe mwenye kitchen kampuga na kuna picha nmeiona juz juz yupo bongo nkajua TB kumbe yupo kweli yupo afu zile biashara alikua anatangaza IG lipstic elf 50 sio zake???Heaven on Earth nifah Dinazarde @ms lincoln geniveros Evelyn Salt kujeni uku mumpe pole shoga yenu yamemkuta makubwa
Binamu, tunda ndie hako kabinti.
Kazuri kweli.Kuna kipindi kalikua kanachepuana na Chameleone kakatikisa ndoa ya watu.
Huyu ni mrithi halali wa Wema Sepetu.Nakwambia mwaka mmoja ujao atakuwa mbali kiskendo.
anatumia jina gani nkamuone, na masogange kachange jina nini mbn ile officialagness siioni tenaHata kama sijaitwa nimekuja.! Mfyuu zako binamu.Tunda ndo habari ya mjini.Anakula bata mpaka na manyoya yake, nimemfollow IG.Na kweli kabisa anatoka na huyo said(Kipande cha mtu kama Le Bokoz)Masogange anaumia sana mpaka alimjia juu said eti malaya sana kila alipomuuliza alisema tunda hatoki naye kumbe anatoka naye.Akajifanya anamwambia kuwa atamsemea kuwa yy muuza unga.Atajiju na mitako yake mchina.Alidhan mitako ndo mwisho wa matatiz😵na sasa mtaro umezibuliwa bado said kakimbilia kwa kimbaumbau kama Dinazarde.