Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,147
- 3,857
Kweli hili ni swali zuri sana maana kama kulipa Dowans ni tatizo la wote, wizi wa EPA ni tatizo la wote, mikopo ya vyuo vya elimu ya juu ni tatizo la wote....na haya ndio matatizo ya Tanzania ya leo. Sasa iweje kila yakihojiwa haya kuna watu wanasema yanalenga kudhulumu maslahi ya waislamu? Ni maslahi ya waislamu au maslahi ya wababaishaji wanaojificha kwenye kundi la viongozi ambao ni waislmu ndiyo yanagombewa.
Tusidanganyane hapa...kama tunatka kuishi vizuri Tanzania lazima tuishi kufuata sheria na kuheshimu dini za watu wote.
Tusidanganyane hapa...kama tunatka kuishi vizuri Tanzania lazima tuishi kufuata sheria na kuheshimu dini za watu wote.