Maslahi ya waislam ni yapi hapa tanzania?

Mrdash1

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,375
336
Wana JF naomba mnieleweshe kuhusu waislam wa tanzania kudai maslahi yao, Hivi wanamaanisha nini? Je ni umeme kwa waislam, maji, sewage system mijini ili waislam wasiishi na mavi kwenye makazi yao, je ni shule za kusomesha waislam peke yao, je ni kujengewa misikiti kila mtaa? je kutumia vipaza sauti kuita watu kwa ibada usiku bila kujali wagonjwa, watoto na wasiowaislam wanaoishi jirani na miskiti? Hivi mtu ukiwa mwislam unakuwa na mahitaji mengine gani ambayo binadamu wengine wasiowaislam hawaitaji? Huko nyuma tuliwahi kusema Binadamu wote ni sawa, je waislam ni binadamu zaidi ya binadamu wengine kiasi wawe na mahitaji yao tofauti?
 
Tatizo sio waislamu, tatizo ni taasisi za kiislamu karibu zote zinaongozwa na watu wenye elimu ndogo sana na upeo finyu, na ndio maana hata mtu anapoushambulia ukristo lazima atalishambulia kanisa katoriki, kwa sababu kanisa katoliki limesheni wasomi na hauwezi kupata daraja la upadre kama hauna degree.
kwahiyo zimekuwepo chuki zisizo na msingi bila kujuwa kwamba baraza la maaskofu linapokutana ni sawa na jopo la maprofesa wa pale university, hapo ndipo tofauti kubwa inapoanzia, rakini shura ya maimamu inaweza kuongozwa na hata mtu alieishia darasa la nne, sifa kubwa ya kuwa kiongozi wa shura ya maimamu ni lazima uwe na cv ya kushiriki mapinduzi ya kung'oa viongozi mbalimbali katika misikiti tofauti.
Kimsingi hapa naomba nieleweke kwamba kuna wasomi waliobobea ambao ni waislamu lakini hawataki kujihusisha moja kwa moja na uongozi wa taasisi hizi za kiislamu, ndio maana wahindi ambao ni waislamu wa madhehebu ya ismailia wao mambo yao super na ukiwaeleza habari za mahakama ya kadhi au oic wanakuona mwehu na ni waislamu, ikumbukwe hakuna mwislamu zaidi kuliko mwislamu mwingine, hawa Ismailia ndio wanamiliki Aga Khan hospital na mashule mbalimbali ya kimataifa na wana mabenki ya kumwaga tu hapa Tanzania. mpaka hapo nadhani utakuwa umepata uelewa mzuri. Hawa wanajiita shura ya maimamu kinachowasumbuwa wao ni njaa tu hakuna kitu kingine, hawa hata tende huwa wanataka wapewe za msaada kutoka saudia, sasa mtu wa namna hiyo unategemea kichwani kwake kutasaria akili kweli?
 
Nchi hii hii..vyakula hivi hivi..mgao huu huu..vumbi na jua hili hili..dala dala hizi hizi...kipi hapo wanachopata wengine wao wasichokipata au wasichopata wenzao wanapata?Embu waache kutaka vitu ambavyo havipo walalamikie ufisadi instead!
 
Tatizo si waislamu na taasisi ,bali tatizo ni baadhi ya wanasiasa kuwahonga viongozi wa dini kujisafisha!!!
Kikwete ndiye aliyesema kuna udini na ndiye anaye watenga shura ya maimam na kukumbatia bakwata!!
Bakwata wanatuhumiwa kupora mali za waislamu !!!
Shehe basalee na shehe ponda huyo huyo ndio waliotaka kuandamana wiki moja kabla ya uchaguzi lakini kikwete kawapinga na kuwaruhusu askofu gamanaywa kukemea udini kwenye hotel ya rostam aziz kilimanjaro hotel!!
Waislamu wanateswa na kutumiwa halafu wanatupwa.


Mwaka 2005 kikwete aliweka kipengere cha kadhi kuwahujumu waislamu lakini 2010 ameondoa !!!
Waislamu wawe macho kabla hawajatumiwa ,kumuhoji rais mambo ya maendeleo!!!
Anaye gonganisha dini ni kikwete wala hata yeye hana maadili ya dini hiyo
 
kuna ombi lao la kujitenga na kuanzisha nchi ya kislamuu lilichekesha sana...yaani tuwape mikoa yenye waslamu wengi na mali zetu?
 
Wana JF naomba mnieleweshe kuhusu waislam wa tanzania kudai maslahi yao, Hivi wanamaanisha nini? Je ni umeme kwa waislam, maji, sewage system mijini ili waislam wasiishi na mavi kwenye makazi yao, je ni shule za kusomesha waislam peke yao, je ni kujengewa misikiti kila mtaa? je kutumia vipaza sauti kuita watu kwa ibada usiku bila kujali wagonjwa, watoto na wasiowaislam wanaoishi jirani na miskiti? Hivi mtu ukiwa mwislam unakuwa na mahitaji mengine gani ambayo binadamu wengine wasiowaislam hawaitaji? Huko nyuma tuliwahi kusema Binadamu wote ni sawa, je waislam ni binadamu zaidi ya binadamu wengine kiasi wawe na mahitaji yao tofauti?

Nadhani wanamaanisha kwamba hitaji lao kuu ni Tanzania kuwa nchi ya Kiislamu, na kufuata miiko yote ya kiislamu
 
kuna ombi lao la kujitenga na kuanzisha nchi ya kislamuu lilichekesha sana...yaani tuwape mikoa yenye waslamu wengi na mali zetu?

Walitamka??? Wapi hiyo ndugu, sijaipata mimi!
 
Mtawalaum bure waisalam. Hao wanaotoa matamko, si waislaam, mimi nakuhakikishia: Ni watu wanaotumiwa na wanasiasa. Lengo lao kubwa ni kutengeneza mazingira ya kuwashawishi wa Tanzania waamini kuwa kuna tatizo la udini.

Mdini, ni yule anayewaza udini.....
 
Hawa jamaa hawana maslahi yeyote tanzania kazi kuanzisha malumbano yasiyokuwa na miguu wala kichwa, sasa hili la kugawana nusu kwa nusu unaweza sema limetolewa na watu wenye akili timamu kweli? ridiculous.
 
Tatizo sio waislamu, tatizo ni taasisi za kiislamu karibu zote zinaongozwa na watu wenye elimu ndogo sana na upeo finyu, na ndio maana hata mtu anapoushambulia ukristo lazima atalishambulia kanisa katoriki, kwa sababu kanisa katoliki limesheni wasomi na hauwezi kupata daraja la upadre kama hauna degree.
kwahiyo zimekuwepo chuki zisizo na msingi bila kujuwa kwamba baraza la maaskofu linapokutana ni sawa na jopo la maprofesa wa pale university, hapo ndipo tofauti kubwa inapoanzia, rakini shura ya maimamu inaweza kuongozwa na hata mtu alieishia darasa la nne, sifa kubwa ya kuwa kiongozi wa shura ya maimamu ni lazima uwe na cv ya kushiriki mapinduzi ya kung'oa viongozi mbalimbali katika misikiti tofauti.
Kimsingi hapa naomba nieleweke kwamba kuna wasomi waliobobea ambao ni waislamu lakini hawataki kujihusisha moja kwa moja na uongozi wa taasisi hizi za kiislamu, ndio maana wahindi ambao ni waislamu wa madhehebu ya ismailia wao mambo yao super na ukiwaeleza habari za mahakama ya kadhi au oic wanakuona mwehu na ni waislamu, ikumbukwe hakuna mwislamu zaidi kuliko mwislamu mwingine, hawa Ismailia ndio wanamiliki Aga Khan hospital na mashule mbalimbali ya kimataifa na wana mabenki ya kumwaga tu hapa Tanzania. mpaka hapo nadhani utakuwa umepata uelewa mzuri. Hawa wanajiita shura ya maimamu kinachowasumbuwa wao ni njaa tu hakuna kitu kingine, hawa hata tende huwa wanataka wapewe za msaada kutoka saudia, sasa mtu wa namna hiyo unategemea kichwani kwake kutasaria akili kweli?

kuna sifa zingine mbona ujazisema CATHOLIC SEXUAL ABUSE SCANDAL, watoto wengi wameliwa tìg....ulaya, afrìca, latin america,caribbean, wewe umesoma seminary gani?
 
__________
 

Attachments

  • uislam.JPG
    uislam.JPG
    94.9 KB · Views: 121
kuna sifa zingine mbona ujazisema CATHOLIC SEXUAL ABUSE SCANDAL, watoto wengi wameliwa tìg....ulaya, afrìca, latin america,caribbean, wewe umesoma seminary gani?

Mheshimiwa Ritz, nitashukuru kama utaweka bayana maslahi nyeti ya waislam ambayo ni special kwao tu na si kwa watanzania wengine wasiowaumini wa dini tukufu islam. Honestly, nimejiuliza sana hili jambo kwa muda mrefu hadi kichwa kinauma, jibu sipati. kama unalo mkuu naomba unisaidie.
 
yani kama ni haki itabidi na wengine tundamane kuhusu kuamshwa kila siku na vipaza sauti vyao
 
Mtawalaum bure waisalam. Hao wanaotoa matamko, si waislaam, mimi nakuhakikishia: Ni watu wanaotumiwa na wanasiasa. Lengo lao kubwa ni kutengeneza mazingira ya kuwashawishi wa Tanzania waamini kuwa kuna tatizo la udini.

Mdini, ni yule anayewaza udini.....
Mdini ni Kikwete
 
Wana JF naomba mnieleweshe kuhusu waislam wa tanzania kudai maslahi yao, Hivi wanamaanisha nini? Je ni umeme kwa waislam, maji, sewage system mijini ili waislam wasiishi na mavi kwenye makazi yao, je ni shule za kusomesha waislam peke yao, je ni kujengewa misikiti kila mtaa? je kutumia vipaza sauti kuita watu kwa ibada usiku bila kujali wagonjwa, watoto na wasiowaislam wanaoishi jirani na miskiti? Hivi mtu ukiwa mwislam unakuwa na mahitaji mengine gani ambayo binadamu wengine wasiowaislam hawaitaji? Huko nyuma tuliwahi kusema Binadamu wote ni sawa, je waislam ni binadamu zaidi ya binadamu wengine kiasi wawe na mahitaji yao tofauti?
<br />
<br />
Same old shit, different thread!
 
Tatizo sio waislamu, tatizo ni taasisi za kiislamu karibu zote zinaongozwa na watu wenye elimu ndogo sana na upeo finyu, na ndio maana hata mtu anapoushambulia ukristo lazima atalishambulia kanisa katoriki, kwa sababu kanisa katoliki limesheni wasomi na hauwezi kupata daraja la upadre kama hauna degree.
kwahiyo zimekuwepo chuki zisizo na msingi bila kujuwa kwamba baraza la maaskofu linapokutana ni sawa na jopo la maprofesa wa pale university, hapo ndipo tofauti kubwa inapoanzia, rakini shura ya maimamu inaweza kuongozwa na hata mtu alieishia darasa la nne, sifa kubwa ya kuwa kiongozi wa shura ya maimamu ni lazima uwe na cv ya kushiriki mapinduzi ya kung'oa viongozi mbalimbali katika misikiti tofauti.
Kimsingi hapa naomba nieleweke kwamba kuna wasomi waliobobea ambao ni waislamu lakini hawataki kujihusisha moja kwa moja na uongozi wa taasisi hizi za kiislamu, ndio maana wahindi ambao ni waislamu wa madhehebu ya ismailia wao mambo yao super na ukiwaeleza habari za mahakama ya kadhi au oic wanakuona mwehu na ni waislamu, ikumbukwe hakuna mwislamu zaidi kuliko mwislamu mwingine, hawa Ismailia ndio wanamiliki Aga Khan hospital na mashule mbalimbali ya kimataifa na wana mabenki ya kumwaga tu hapa Tanzania. mpaka hapo nadhani utakuwa umepata uelewa mzuri. Hawa wanajiita shura ya maimamu kinachowasumbuwa wao ni njaa tu hakuna kitu kingine, hawa hata tende huwa wanataka wapewe za msaada kutoka saudia, sasa mtu wa namna hiyo unategemea kichwani kwake kutasaria akili kweli?

Great! It is absolutely correct.
 
Waislamu wana ugonjwa wa inferiority complex, kutojiamini na kusingizia wengine!

wakumbuke Kikwete hatakuwepo madarakani daima

viwanda na makampuni mengi ni ya kigeni na wafanya kazi huko ni wasomi tu,

badala ya kuwaza elimu na kujikomboa wanawaza uchafu kila siku!

angalia shule zao na vyuo vyao kila siku wanafeli kule sijui tatizo ni wakristo

Let them waste time in these affairs ni muda wa kufurahia ushindi kwa watu walio serious na maisha ya ukweli ya dunia hii na sio ya kuigiza au wishful thinking

Believe me serious muslims they dont have time or even part in these kind of muslimu's matters
 
Waislamu wanatakiwa kubadilika kifikra la sivyo mifumo ya maisha itawasumbua sana. Kila wakati ni kulalamika tu. Hasa waislamu waafrika wa kitanzania, wa asili ya kiasia hawako hivyo.

Huku Moshi shule ya secondary ya Maadhil imewashinda wamempa kijana mmoja aiendeshe. Nasikia wanataka kuachia Kibohehe sec, wanamtafuta mtu atakayeweza kuiendesha.
 
Waislamu wana ugonjwa wa inferiority complex, kutojiamini na kusingizia wengine!

wakumbuke Kikwete hatakuwepo madarakani daima

viwanda na makampuni mengi ni ya kigeni na wafanya kazi huko ni wasomi tu,

badala ya kuwaza elimu na kujikomboa wanawaza uchafu kila siku!

angalia shule zao na vyuo vyao kila siku wanafeli kule sijui tatizo ni wakristo

Let them waste time in these affairs ni muda wa kufurahia ushindi kwa watu walio serious na maisha ya ukweli ya dunia hii na sio ya kuigiza au wishful thinking

Believe me serious muslims they dont have time or even part in these kind of muslimu's matters

ukiona watu wazima wanakubaliana kwa kila jambo ujue basi akili zao zina ukungu, unadhani waislam wote wapo CCM?
 
Back
Top Bottom