Wana JF naomba mnieleweshe kuhusu waislam wa tanzania kudai maslahi yao, Hivi wanamaanisha nini? Je ni umeme kwa waislam, maji, sewage system mijini ili waislam wasiishi na mavi kwenye makazi yao, je ni shule za kusomesha waislam peke yao, je ni kujengewa misikiti kila mtaa? je kutumia vipaza sauti kuita watu kwa ibada usiku bila kujali wagonjwa, watoto na wasiowaislam wanaoishi jirani na miskiti? Hivi mtu ukiwa mwislam unakuwa na mahitaji mengine gani ambayo binadamu wengine wasiowaislam hawaitaji? Huko nyuma tuliwahi kusema Binadamu wote ni sawa, je waislam ni binadamu zaidi ya binadamu wengine kiasi wawe na mahitaji yao tofauti?