Maslahi ya waislam ni yapi hapa tanzania?

Cracy idea, kwahiyo tangu uhuru hakuna waislamu malawyers wanaofaa kuwa majaji? ndio maana wamekuwa wakristu kwakuwa wamesoma sana?

Katika bunge letu hakuna waislamu wenye qualification ndio maana asimilia 75% ya waziri ni wakristo? give me a break!

Hii nchi wacha ilipuke tu kuna watu wanafikiri upupu?


Hao wabunge wanapatikana vipi?! Wameteuliwa na wakristo wenzao au wamechaguliwa na wananchi wenye imani tofauti?!
Baraza la mawaziri linateuliwa na rais, unapaswa kumlaumu Kikwete kama unaona kuna upendeleo wa dini fulani.
 
kuna mabwege wengi JF wanajiona bora sana na ukirsto wao wanatukana waislam watakavyo sababu wamepata sehemu ya kutukania, muislam mmoja akikosea kitu unatukwana Uslam wote nimeona post nyingi watu wanatoa matusi tu, hivi ukiristu ndio dini bora ya watu makini wasomi wanajua kila kitu? mbona ukiristo huna mambo mengi tu ya kishenzi tena yanafanywa na viongozi wakuu na wafuasi wanafata. twende na mifano michache tuone, Marekani sasa hivi kuna LESBIANS BISHOP na wanaongoza ibada kama kawaida nakutajia wawili
1,REV, MARY DOUGLAS GLASSPOOL
2.CHRISTIANS JEFFERTS
hawa ni MASKOFU wanawake wasagaji, kinachosikitisha zaidi nitaje kwa uchache MAASKOFU MASHOGA
1.GENE ROBINSON wa new hampshire
2,ANTONIO FEDERICI ni Catholic yeye anapenda ice cream sana kwenye kissing
3,EDDIE LONG mmarekani mweusi mbeba vyuma ni Baptist church
4.MERVN CASTLE Anglican church of southern africa wa cape town
5,DR JEFFREY JOHN Anglican wa Wales wapo wengi sana, September 21 2010 gazeti la BILD la ujerumani ukurasa wa mbele kabisa limetoa pìcha za Harusi ya waziri wa mambo ya nje wa ujerumani GUIDE WESTERWELL SHOGA na mwanaume mwenziè mchumba wake wa siku nyingi MICHAEL MRONZ, wote ni WAKIRSTO safi. LUTHERAN CHURCH IN AMERICA said it would consinder GAY candidates for ordìnation who are committed same-SEX relationships..




Duuh! Kwa hiyo haya ndio maslahi yenyewe ya waislam au kuna mengine?
 
Back
Top Bottom