Sawa mkuuJWTZ wanafanya kazi gani yakukutana na raia?.Huwezi kuchukua rushwa kwa mwananchi kama huna shughuli yamoja kwa moja inayokuunganisha na shughuli za wananchi.
Hapa umemaliza kabisaZipo kada nyingi zina kipato cha chini zaidi kuliko police.Na zina maendeleo.
Shida ya police wanapenda Sana kufungua zipu na vizibo hivi vitu viwili pesa haikai hata wakilipwa milioni 10 kwa mwezi.
We unajua wanalipwaje?Mbona JWTZ wanalipwa kidogo lakini hawachukui rushwa? hii inatokana na mfumo mbovu
MajiziKada nyingi hapa bongo Zina vipato duni,Waalimu,walinzi,bodaboda,nk,wasilete visingizio,polisi ni kama mbwa
Kwanza kwa nini uchukue kidogo cha mtu ?Chukua kidogo mwachie na mwenzio apate pa kuanzia.
Ukimuona Askari anaishi maisha magumu baada ya kustaafu au kufukuzwa Kazi usimsaidie jua analipwa dhuluma alizowatendea watu alipokuwa kazini.Kwanza kwa nini uchukue kidogo cha mtu ?
Mtu ana mshahara wake ambao anaweza kuutumia kuanzisha biashara na akafanikiwa alafu hapo hapo atake cha mtu mwingine ambae mtu huyu kodi yake ndio inamlipa polisi ?
Kinachotakiwa askari wajitafakari sana na wawe na hofu ya Mungu kwamba hawa wanaowafanyia ubaya watakutana nao siku moja mtaani kwenye maisha mengine
Hao washenzi wanatakiwa kuishi kwenye nyumba za bati au mapipa,hawastahili hata mshahara wa laki bladifakenWasalaam.
Nimefanya utafiti mdogo kujua kwanini police wanakula rushwa na kudhulumu raia nikagundua ni mishahara duni wanayolipwa na serikali sikivu ya ccm. Police walishaua wafanyabiasha wa madini kutoka mahenge na kuwadhulumu pesa na madini kisha kutangaza wameua majambazi.
Dhuluma na uonevu wa jeshi la police imezidi mpaka imefikia kuchukiwa na raia kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kulipizana visasi.
Tuombe sana mungu wasijetokea kina hamza wengine na kulipiza kisasi kwa kuwaua police maana ni raia wengi sana wameumizwa na police na kuporwa mali na fedha na kupambikiwa kesi.
Hitimisho: police wetu wamegeuka watumishi wa ccm kwa kulipwa mishahara duni, ni vema police warudi kwenye miiko ya sheria zao na kuwatumikia wananchi wote na sio chama cha mapinduzi kama ilivyo leo.
Usiwe mtumwa wa HistoriaHata hao waliajiriwa kwa mishahara hiyo hiyo wakabadilika.kwahiyo ata watakao ajiriwa nao watabadilika.Ni askari wachache sana wanaoweza kuvumilia kulala njaa wakati wanajua kua tu nahiyo kazi ni pesa tosha.
Mishahara hulipwa kulingana na ujuzi na elimu ya mtumishi. Sifa ya awali kuingia ccp ni darasa la 7 (japo f4 wasio na vyeti nao wamo) na kozi huchukua miezi 9. Serikali ikiwapendelea idara zingine watalalamika, na matokeo ni kazi kudoda.Wasalaam.
Nimefanya utafiti mdogo kujua kwanini police wanakula rushwa na kudhulumu raia nikagundua ni mishahara duni wanayolipwa na serikali sikivu ya ccm. Police walishaua wafanyabiasha wa madini kutoka mahenge na kuwadhulumu pesa na madini kisha kutangaza wameua majambazi.
Dhuluma na uonevu wa jeshi la police imezidi mpaka imefikia kuchukiwa na raia kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kulipizana visasi.
Tuombe sana mungu wasijetokea kina hamza wengine na kulipiza kisasi kwa kuwaua police maana ni raia wengi sana wameumizwa na police na kuporwa mali na fedha na kupambikiwa kesi.
Hitimisho: police wetu wamegeuka watumishi wa ccm kwa kulipwa mishahara duni, ni vema police warudi kwenye miiko ya sheria zao na kuwatumikia wananchi wote na sio chama cha mapinduzi kama ilivyo leo.
Siafiki hii hoja uduni wa mishahara sijui na vitendea kazi si sababu ya kuonea wananchiWasalaam.
Nimefanya utafiti mdogo kujua kwanini police wanakula rushwa na kudhulumu raia nikagundua ni mishahara duni wanayolipwa na serikali sikivu ya ccm. Police walishaua wafanyabiasha wa madini kutoka mahenge na kuwadhulumu pesa na madini kisha kutangaza wameua majambazi.
Dhuluma na uonevu wa jeshi la police imezidi mpaka imefikia kuchukiwa na raia kwa kiasi kikubwa mpaka kupelekea kulipizana visasi.
Tuombe sana mungu wasijetokea kina hamza wengine na kulipiza kisasi kwa kuwaua police maana ni raia wengi sana wameumizwa na police na kuporwa mali na fedha na kupambikiwa kesi.
Hitimisho: police wetu wamegeuka watumishi wa ccm kwa kulipwa mishahara duni, ni vema police warudi kwenye miiko ya sheria zao na kuwatumikia wananchi wote na sio chama cha mapinduzi kama ilivyo leo.