Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahhh!!!" Inasikitisha sana....Hebu malizia bana jamaa ilikuwaje....?
FUNZO::
Usimtegemee sana mwanadamu
katika maisha yako, kwanza ni
dhambi!!
Pili mwanadamu anakumbana na
vikwazo kama unavyokumbana
navyo wewe hadi kumwendea yeye.
Kuna mambo mengine bana vichekesho yericko hawezi kujifananisha na zzk
we unajiona umetulia au?
Najaribu kujiuliza ni nani alitoa taarifa hii kwa maana mtorokaji kazikwa na pia mtoroshaji kumbe Naye kafa,halafu kwenye jeneza anafungua na kumkuta mzikaji,sasa huku kaburini palikuwa na ukubwa gani hadi kuweza kugeuka na kumfunua maiti au kulikuwa na mwanga ndani na kama ndio nani akiweka huo mwanga na kwanini asingemuokoa?
Haya hadithi njoo utamu kolea
Happy New Year