Maskini Wambura...

Sijui kwanini vijana wa DR SLAA WANAJARIBU KUJIPAMBANISHA NA ZITTO IKIWA DR SLAA MWENYEWE KASHINDWA.
 
Hii imewagusa wengi, bila kumung'unya maneno mwandishi ni ni mmoja wao... WALE UNAODHANI BILA WAO HUWEZI KUISHI WAO BILA WEWE WANAWEZA KUISHI... tafakarini wote mlioguswa.
 
:flame:Maeneo ya kuyaangalia
1- Mke na watoto wanne
2- Kifungo cha miaka mitatu hakijaisha- 2012-2015
3- Bwana Mzikaji
Bado nadodosa
 
Naona mwisho umekosea mzikaji alipata msamaha wa raisi na akatoka nje akawahuru na kuendelea na harakati za ukombozi
 
Najaribu kujiuliza ni nani alitoa taarifa hii kwa maana mtorokaji kazikwa na pia mtoroshaji kumbe Naye kafa,halafu kwenye jeneza anafungua na kumkuta mzikaji,sasa huku kaburini palikuwa na ukubwa gani hadi kuweza kugeuka na kumfunua maiti au kulikuwa na mwanga ndani na kama ndio nani akiweka huo mwanga na kwanini asingemuokoa?
Haya hadithi njoo utamu kolea
Happy New Year

Duu umenena mkuu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom