Mkuu Yeriko, kiukweli nimecheka!,
Ika hiyo ya jeneza la watu wawili, ikibidi ni kulala mzungu wa nne!, na baada ya kupigiliwa misumari, bado mtu akageuza hata mkono kuifunua maiti, na giza la ndani ya sanduku, ndani ya kaburi, bado ukamtambua mtu ni nani!.
Anyway its a good story!.
What is the linkage na hiyo tarehe?!.
Happy New Year!
Pasco.
Mkuu Nyerere kwanza nikupongeze kwa kutupa update siku nzima ya leo pale mahakamani. .ubarikiwe sana..swali langu dogo tu Hivi Wambura atazikwa kesho kama ulivyoaidi hapa? Maana I told u time will tell sasa naona kama alokufa sio mzikaji ni pacha wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.