Maskini Wambura...

binafsi sikuwai kuisoma hii story kabla.nashukuru sana mleta mada nimejifunza mengi sana.hap new year.......
 
Mkuu Yeriko, kiukweli nimecheka!,
Ika hiyo ya jeneza la watu wawili, ikibidi ni kulala mzungu wa nne!, na baada ya kupigiliwa misumari, bado mtu akageuza hata mkono kuifunua maiti, na giza la ndani ya sanduku, ndani ya kaburi, bado ukamtambua mtu ni nani!.

Anyway its a good story!.
What is the linkage na hiyo tarehe?!.
Happy New Year!
Pasco.
 
Mkuu Nyerere kwanza nikupongeze kwa kutupa update siku nzima ya leo pale mahakamani. .ubarikiwe sana..swali langu dogo tu Hivi Wambura atazikwa kesho kama ulivyoaidi hapa? Maana I told u time will tell sasa naona kama alokufa sio mzikaji ni pacha wake...
 
loh, gafla nimeanza kuhisi nakosa pumzi baada ya udongo kushuka kwenye jeneza la mzikaji na wambura.
simuliz nzuri, asante kwa somo.
 
Back
Top Bottom