Duh; hata kama story ni fix lakini kuna fundisho kubwa sana; tangu leo nawambia wanafamilia wangu (Mama Tutor B, Kadu, na Akanganyila) wasinitegemee tena mimi kwani nami ni binadamu kama wao.
Story ni nzuri sana japo uhalisia ni kidogo lakini ina mafundisho mazuri
That's true!!!!!!!
imeandikwa amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kimbilio lake