Maskini Wambura...

Duh; hata kama story ni fix lakini kuna fundisho kubwa sana; tangu leo nawambia wanafamilia wangu (Mama Tutor B, Kadu, na Akanganyila) wasinitegemee tena mimi kwani nami ni binadamu kama wao.
 
Duh; hata kama story ni fix lakini kuna fundisho kubwa sana; tangu leo nawambia wanafamilia wangu (Mama Tutor B, Kadu, na Akanganyila) wasinitegemee tena mimi kwani nami ni binadamu kama wao.

Mahitaji yao uwatimizie tu
 
Story iko nzuri na imeeleweka! Ujumbe umefika.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom