Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,609
Hakuna kuchoka ukichoka ndio utazidi kuwa ulivyo......kwahiyo kama masuggestions yanatolewa na hakuna mabadiliko una njia gani mbadala?
tuwarudi wazungu
Hakuna kuchoka ukichoka ndio utazidi kuwa ulivyo......kwahiyo kama masuggestions yanatolewa na hakuna mabadiliko una njia gani mbadala?
tuwarudi wazungu
Kama kila kitu tunaiga kutoka kwao. Na kila tukiiga tunaboronga, kwanini wasirudi watufundishe
icho chuo ni moja ya vyuo ninavyovichukia kuliko vyuo vyote duniani. nimesoma hapo, nimesota vibaya mno. nilikuwa na akili nyingi, nilijitahidi kiasi kikubwa lakini muda mwingi nilikuwa naishia frustrations. nashukuru Mungu nilimaliza salama. nilitaka kusoma mastaz hapo, lakini moyoni sina hamu, naona kama naenda jehanam. kwanza kabisa, ni kuhusu wanavyojifanya kubana maksi wakati mtu unapiga msuli na una akili za kumwaga. ndio maana first class kama ya wanasheria kule huwa hamna, ni kuanzia second. sasa kama hamna, ina maana maprof hawana uwezo wa kumfundisha mtu akapata hiyo first class. nili piga msuli niipate first lakini walinibania.
Kipi kigeni hapo, kwani hamjui MUKANDARA ni SWAHIBA wa KAKA MKUBWA,heri yangu mimi niliyemaliza KAdegree kangu wakati bado tupo wa 13 AFRICA.Halihalisi inajulika coz baada ya MUKANDARA kuwa MAKAMU MKUU wa UDSM,kila kitu kimebadilika,na matatizo yamekuwa kibao.POLE SANA TENA SANA.
Uchunguzi unaonyesha kuwa haya yote yanasabishwa kwa kiasi kikubwa na ukweli kwamba uongoji wa chuo upo kwa ajili tu ya kuhakikisha wanafunzi hawagomi basi hawana lolote lamaana huko ofisini kwao hakua anayejali na miaka kadhaa ijayo udsm itakuwa ni magofu tu na mitaani kutakua na wasomi/wataalamu feki kibao.
Ukiliangalia swala hili kwa mapana ni dhahiri, Tanzania haina dira. Nadhani nguvu imehamishiwa Dodoma university hivyo UDSM imesahaulika. Kuanhaja ya kuangalia mikakati ya kuanjisha vyuo Vs uwezo wakumaintain vilivyopo.
Sasa kama hawa wataalamu tunawapika hapo UDSM wananusa marashi ya kinyesi, watakapokuwa wanaongoza wizara wataona umuhimu wa kuwa na vyoo safi kweli??? Waafrika ndivyo tulivyo ,by Nyani Ngabu.
Ndugu yangu,hebu acha kufuga maradhi hivi kweli;katika ulimwengu huu wa sasa tukianza ku-rank ubora wa vyuo vikuu duniani hivi hii UDSM unafikiri inaweza kuwa ya ngapi?Au ndiyo unababaika kwa hao wanasiasa waliopitia hapo!?Hata hivyo lazima ujiulize wana mafanikio kiasi gani katika kuzitumikia nchi zao;ni watu wangapi hadi hivi sasa ukipita mtaani wana-appreciate mchango wao katika nchi?Ni chuo kizuri kwa mtizamo wangu sema tu wabongo ni watu wa kuponda vyakwetu.
Ni chuo kilichozalisha wataalamu wengi wa taifa hili.
Hata JK kapita pale,Museveni nae vile vile