Maskini Dk. Ummy Mwalim amemkosea nini Samia

Maskini Dk. Ummy Mwalim amemkosea nini Samia

Unaujua mziki wa ACT? Lile Jimbo tayari la ACT,hili sikuahidi,ila siku ikifika ndiyo utaamini.
Tunza hii comment,nadhani unamsikia Abdul Nondo,tena msomi mwenzio,ndiyo anaenda kugombea pale.
Hatuwezi kuwa na MBUNGE ambae alisema angekua she angemzalia 💍 watoto kumi.
Kigoma mjini anagombea zitto
 
Yule wa Pwani amepona kwasababu ni kijana wa Rais Kivuli... lakini inaonekana haziivi na matheri..
 
Ummy akae home ni jambazi na mwenye dhuluma ana kashfa nyingi za uonevu na usengenyaji ache akapike uono
 
Meno ya mbwa hayaumani, lazima kuna kipande cha keki kinaandaliwa kwa ajili yake
 
Back
Top Bottom