Maskini Dk. Ummy Mwalim amemkosea nini Samia

Maskini Dk. Ummy Mwalim amemkosea nini Samia

Hapo aliongea ukenge na yeye maana kuwa Rais haizuii personal life hasa pombe na hizo sijui fegi
We Ile view ya bahari kutokea pale ikulu jioni na upepo mwanana ungeusindikiza na nn hasa ukiwa umechanganywa na mambo meeeeeengi
Hujawaza vizuri, huwa inategemea na personality ya Raisi. Raisi wa sasa anafahamika mbele za watu kama mshika dini kutokana na namna alivyojiweka kuanzia mavazi(hijabu), hivyo kwa namna yoyote watu hawategemei awe hivyo alivyosemwa.
 
Alianza kumuondoa katika Baraza la mawaziri.
Licha ya kushika nafasi ya kwaza katika kura za wajumbe pale Tanga mjini jina lake limekatwa huku Halmashauri Kuu ya CCM NEC
Hivi sisi Watanzania nani katuroga? Cheo cha umma ni dhamana! Kauli kama hizi ndizo zinatoa uhalali kwa baadhi ya watu kutotaka kuachia madaraka ya umma. Tusiendeleze hii tabia. Acha kumtuhumu Mhe. Rais.

Tusome na kuishi maisha ya wazee wetu kina Msuya, Kawawa, Warioba, Malecela nk.. ambao Mwalimu aliwa sub. Mtu anatoka kuwa PM hadi waziri au bench.
 
Unamlilia MTU ambaye ni well off and richest ambaye amekaa bungeni over 10 yrs na amekuwa waziri kamili .

A richest woman .

Yule ameshaandaa wealth generation she can't be poor by any means .
Nani kakwambia wanasiasa wanataka madaraka sababu ya pesa? Kwani Kimei, Gwajima, Tarimba hawakuwa mabilionea mbona waligombea ubunge?

It's about power otherwise Ridhiwan na Salma wasingegombea ubunge maana wana old money ya kutosha
 
Ila baba levo kigoma hatoboi,Bora wangemuacha kilumbe Nenga.
Jimbo linaenda ACT saa nne kamili asubuhi October 29
 
Unaijua NEC? baba levo ni mbunge tayari. Lol
Unaujua mziki wa ACT? Lile Jimbo tayari la ACT,hili sikuahidi,ila siku ikifika ndiyo utaamini.
Tunza hii comment,nadhani unamsikia Abdul Nondo,tena msomi mwenzio,ndiyo anaenda kugombea pale.
Hatuwezi kuwa na MBUNGE ambae alisema angekua she angemzalia 💍 watoto kumi.
 
Unaujua mziki wa ACT? Lile Jimbo tayari la ACT,hili sikuahidi,ila siku ikifika ndiyo utaamini.
Tunza hii comment,nadhani unamsikia Abdul Nondo,tena msomi mwenzio,ndiyo anaenda kugombea pale.
Hatuwezi kuwa na MBUNGE ambae alisema angekua she angemzalia 💍 watoto kumi.
ZZK anagombea jimbo gani? Nakuambiaje Baba Levo ni mbunge tayari.
 
Back
Top Bottom