Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,837
- 2,258
Hivi wewe unaoona umaskini tu ndio unaotesa duniani, kama ni hivyo wapiga vigeregere maarufu wasingekuwa akina mama wanaotokea vijijini. wanajua kupiga vigeregere kwa sababu huwa wanavipiga toka utoto wao wakati wa furaha!Unamlilia MTU ambaye ni well off and richest ambaye amekaa bungeni over 10 yrs na amekuwa waziri kamili .
A richest woman .
Yule ameshaandaa wealth generation she can't be poor by any means .
kuikosa hadhi uliyokuwa nayo inaweza kukutesa kuliko umaskini unaousema.