ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
Afu wewe bi shosti nakuangalia ujue, cha kunikashifia mume wangu inahuu....!!! taratibu bibie heshima ichukue mkondo wake kabla hajaparuriwa mtu humu
eeeeeh afadhali umetokea kwanza salama?mumeo hajambo huko jela?aaaaah hata usiniparue shoga angu, tulia kwanza, kunywa maji, shusha jazba af nije nikueleze taratibu kwa vituo.kwanza sina muda huo wa kumkashfu mumeo af sijamkashifu ujue mi nimeuliza kwa uzuri tu!NA NDIO MAANA KWENYE COMMENT YANGU YA MWANZO KUNA ALAMA ZA KUULIZA NA NIKAKUTA WEW UNIDHIBITISHIE AU NI UZUSHII WA MUANDISHI,Sa kashfa hapo iko wapi? mwambie muandishi siku ingine asiandike sentensi TATA aandike sentensi SAHIHI.tatizo liko kwa muandishi ukiniparua mimi na we utaparuriwa ooooh!!!!