Maskini Baba V!!!

Maskini Baba V!!!

Kwahiyo ulielewa kwamba jamaa anataka kumuoa Baba V? You must be kidding!? Huu ni upuuzi kabisa!!!

wallah tena !ndivyo nilivyoelewa na ndio maana kwenye comment yangu ya mwanzo nikaandika sitaki kuamini hichi kitu wapi mama v aje aseme ukweli? sa na we nawe upuuzi wangu uko wapi?alichokosea ndio hicho angeweka na NA MWENYEKETI BABA V NA SIJAJUA KAMA AMEKOSEA MPAKA ALIPO NIITA MJINGA AF HUJUI KAMA NI MWENYEKETI?hebu fikiria kidogo af uje na jibu nana mjinga?AF UPUUZI UKO WAPI?
 
Last edited by a moderator:
ummu kulthum kijiti na jicho hicho,...!! hala hala akirudi hapa msikimbie

yaan nimkimbie baba v haitatokea ng'o!!!!akirudi selo aseme kati yangu na muandishi nani anamakosa?nimekomment nilichoelewa tena kwa kutojiamin hivi baba v kweli na sura yake ya upole mtanashati ki ukweli namkubali vibaya mno.
 
Last edited by a moderator:
hahahaa watu watasambaana hapa chit-chat ndio maana mie kimyaaaa!

binafsi sita mkimbia na nishaanza kusaka mawakili kila kona wa kunisaidia ka na wewe unahitaji leta tu cv yako ka unaijua sheria na ukasoma school of law ili nichomoke kwenye hili sakata!!!sitamkimbia NAKUAHIDI SIKIMBIE TATIZO ambalo limesabibishwa muandishi.
 
binafsi sita mkimbia na nishaanza kusaka mawakili kila kona wa kunisaidia ka na wewe unahitaji leta tu cv yako ka unaijua sheria na ukasoma school of law ili nichomoke kwenye hili sakata!!!sitamkimbia NAKUAHIDI SIKIMBIE TATIZO ambalo limesabibishwa muandishi.

Sipati picha msala wake hapa ndani
 
wallah tena !ndivyo nilivyoelewa na ndio maana kwenye comment yangu ya mwanzo nikaandika sitaki kuamini hichi kitu wapi mama v aje aseme ukweli? sa na we nawe upuuzi wangu uko wapi?alichokosea ndio hicho angeweka na NA MWENYEKETI BABA V NA SIJAJUA KAMA AMEKOSEA MPAKA ALIPO NIITA MJINGA AF HUJUI KAMA NI MWENYEKETI?hebu fikiria kidogo af uje na jibu nana mjinga?AF UPUUZI UKO WAPI?

Afu wewe bi shosti nakuangalia ujue, cha kunikashifia mume wangu inahuu....!!! taratibu bibie heshima ichukue mkondo wake kabla hajaparuriwa mtu humu
 
yaan ndugu muandishi umenifumbua macho kumbe Baba V si riziki?sitaki kuamin hii kitu wapi Mama v uje unitoe utata ni kweli mumeo bwabwa?

ummu kulthum tafadhali bibie unaemsema hayo maneno ni mume wangu ujue nilozaa nae watoto saba na tuna wajukuu ma dazeni, kama kiswahili kimekushinda kuelewa hapo juu omba kamusi bibie na sio kukimbilia kumwaga makashfa hapa ndani...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom