Embu ngoja kwanza....! Yaani humtaki tena Mamndenyi na unampa Slave amtwae tena na hela juu!? Duh!!!? Nitarudi....,..
Jitahidi hivyo hivyo.. Slave anakupenda.
Naomba tufanya exchange mkuu....nitakupa Mamndenyi na hela juu ili Evelyn Salt wangu arudi.
mh! Mbona unakubali haraka hivyo kunani? Hapana ngoja nitafakuri kwanza nisije change kuku kwa ng'ombe.
Vin Diesel nshakuambia unatembea na roho yangu hayo ya Slave yanatoka wapi?
Jitahidi hivyo hivyo.. Slave anakupenda.
nimeahirisha ku change tufanye hivi chako changu na changu changu mwenyewe. Zingatia hilo Vin Diesel
Mamndenyi sogea nikunong'oneze. Mumeo Vin Diesel anawachumba kibao muda wowote wewe bakurutu utatupwa kuleee mwenzio sasa hivi anakomaa na vimchuchu anasema havimsumbuagi ktk kuhonga buku moja tu wiki nzima hakaombi tena. Hiyo ni siri yako usimwambie mtu.Slave hapa siweze kugonga 'like' manake ndoa yangu na Vin Diesel iko mashakani nisijeongeza tabu zaidi.
Mamndenyi sogea nikunong'oneze. Mumeo Vin Diesel anawachumba kibao muda wowote wewe bakurutu utatupwa kuleee mwenzio sasa hivi anakomaa na vimchuchu anasema havimsumbuagi ktk kuhonga buku moja tu wiki nzima hakaombi tena. Hiyo ni siri yako usimwambie mtu.
Slave ............... akitoka bado ni wa kwako tu.
afu wewe mama na imani unayo aisee! Au unamg'ang'ania huyo huyo tu Vin Diesel kwanini usitafute serengeti boy ukaishi kwa amani? Au jamaa alikuendeaga kwa sangoma?
Habari zenyu bhana!!!
Naomba tufanya exchange mkuu....nitakupa Mamndenyi na hela juu ili Evelyn Salt wangu arudi.