Maskini Baba V!!!

Maskini Baba V!!!

yaan ndugu muandishi umenifumbua macho kumbe Baba V si riziki?sitaki kuamin hii kitu wapi Mama v uje unitoe utata ni kweli mumeo bwabwa?

Acha ujinga wewe,hujui kuwa huyu ndiye mwenyekiti wa mahusiano na ndoa hapa?
 
Last edited by a moderator:
Acha ujinga wewe,hujui kuwa huyu ndiye mwenyekiti wa mahusiano na ndoa hapa?

dah muandishi taratibu kwanza,ungeandika kuwa ni mwenyeketi af ukaniita mjinga hapo ingepoa nami ningeukubali ujinga wangu lakin umeandika NATAKA KUOA HIVI,BABA V AMEPIGWA BAN kwa njinsi nilivyoelewa ndivyo nimecomment ujinga wangu uko wapi?sio wote wanaokuja humu wanajua kila kitu kinachoendelea humu ungeitoa kwenye sentensi tata na kuwa kwenye sentensi sahihi kama hivi,NATAKA KUOA HIVI KARIBUNI,NA MWENYEKETI WETU Baba V AMEPIGWA BAN NIFANYEJE?huyu jamaa namuheshimu sana sasa haka katabia kamenishangaza sana ukitoa selo jamaa unione
 
Last edited by a moderator:
dah muandishi taratibu kwanza,ungeandika kuwa ni mwenyeketi af ukaniita mjinga hapo ingepoa nami ningeukubali ujinga wangu lakin umeandika NATAKA KUOA HIVI,BABA V AMEPIGWA BAN kwa njinsi nilivyoelewa ndivyo nimecomment ujinga wangu uko wapi?sio wote wanaokuja humu wanajua kila kitu kinachoendelea humu ungeitoa kwenye sentensi tata na kuwa kwenye sentensi sahihi kama hivi,NATAKA KUOA HIVI KARIBUNI,NA MWENYEKETI WETU Baba V AMEPIGWA BAN NIFANYEJE?huyu jamaa namuheshimu sana sasa haka katabia kamenishangaza sana ukitoa selo jamaa unione

Kwahiyo ulielewa kwamba jamaa anataka kumuoa Baba V? You must be kidding!? Huu ni upuuzi kabisa!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom