Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,983
Alienda jukwaa la siasa huyu Baba V
ulitaka kumuoa Baba V?
Makubwa!
mmmh ummu kulthum inamaana umeshindwa kung'amua maneno ya mwandishi mpaka utake kuleta kashfa nzito? Kwa uelewa wangu mwandishi atakuwa anamaanisha kutokuwepo kwa m/kt Baba V ambae ndie mtayarishaji mkuu wa ndoa.
Uwi mama v njo huku mumeo anakashifiwa huku eti gari yake haipigi start mpaka ibustiwe
Hahahahahaha!mi sjamkashifu jaman angalieni muandishi alichoandika na ndio nikamuita mwanamke mwenzangu aje anitoe huu utata.kwani hii tabia kaanza lini?
Hahahahahaha!
Nimegundua kumbe ata wewe unaitafuta BAN ili umfuate huko huko.
'Mama V' kuwa makini na huyu mtu maana naona mwenendo wake unatia shaka lol!
unajua nilisinzia. Hivi ndoa yako ilishafugwa?