Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Act-wasaliti. Mupeni tigo prof pumba awasadie, maana naye kafuata nyayo za Zigo(usaliti).

Duuuuu,hapo sipati picha maana wasaliti na wapenda vyeo sijui kama hawata pigana misumali
 
maandiko matakatifu yameeleza wazi sana kuhusiana na laana ambayo inamkuta msaliti , inatisha !
 
Mtoa mada tafadhali mwisho wa jina lako ondoa a na uweke o italeta maana halisi ya post yako.
 
Mnaweweseka sana mgombea mmemchagua kakataa kasema ajajianda kwa hiyo mlikuwa hamna mgombea kwa nin mlichukua fomu yuda chama kinamfia mkononi

Hiyo form mpaka itachakaa maana inashinda mfukoni
 
hivi hakuna namna ya kuwasweka rumande viongozi wao kwa kuharibu nyaraka za tume na hivyo kulitia hasara taifa ? unachukuaje form huku huna mgombea ! mkuu Mwigamba nimekudharau sana !

Kweli mkuu hiyo form ni nyaraka nyeti ya serikali kupitia nec
 
Makamamda Mufindi Kaskazini kamanda mmoja tayari kajisalimisha kwa Zitto.

Nyie endeleeni kujifariji watu wapo uwanja wa mapambano.

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
maandiko matakatifu yameeleza wazi sana kuhusiana na laana ambayo inamkuta msaliti , inatisha !

Daaaa,hiyo dhambi ndio inakitafuna act maana hakuna mwenye maamuzi ya kuwaongoza wenzake,usaliti ni dhambi mbaya sana
 
Zitto anajenga Chama wewe... Kama vile alivokuwa chadema kabla haijapata nguvu ...
 
Nimecheka kweli kweli fomu ya kugombea urais inachukuliwa halafu mgombea ndio anatafutwa kweli Zitto akili zake zinamtosha mwenyewe.
 
Zitto anajenga Chama wewe... Kama vile alivokuwa chadema kabla haijapata nguvu ...

Alipo kuwa cdm alikuwa anafanya kazi na watu wenye maono na uelewa kabisa wa kiuongozi,sasa leo zzk anafanya kazi ya kujenga chama na Afande sele
 
Kwa mwana siasa au mfuatliaji wa siasa za hapa Tanzania jina la ZZK lilikuwa ni maarufu sana kupitia vyombo vya habari ikiwepo mitandao ya kijamii kipindi ZZK yupo ndani ya CHADEMA kwa kufuatilia mawazo na ushauri wake.

Lakini kwa sasa baada ya kuwa nje ya CHADEMA hatupati tena mawazo na ushauri wa aliyekuwa mwanasiasa mahiri mwenye hoja murua, nini kimekupata ZZK?

Tatizo ZZK ni MMBEA SANA HANA JIPYA
 
Makamamda Mufindi Kaskazini kamanda mmoja tayari kajisalimisha kwa Zitto.

Nyie endeleeni kujifariji watu wapo uwanja wa mapambano.

Teh teh teh

Naona hutaki kuukubali mziki wa cdm
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom