Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Baada ya uchaguzi act ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani baada ya cdm na cuf kugeuka vyama vya kifisadi
 
Utamuona tu muda si mrefu. Mpaka sasa hakuna mwanasiasa anayefikia level ya zitto.
Utamuona kwenye bunge lijalo na utashuhudia mambo mengi mazuri kutoka ACT.
Pamoja na kuwa wewe unachuki binafsi kwa zitto lakini tambua kuwa yeye hakuchukii bali anakupenda sana na anaamini ipo siku utakuwa Mzalendo.

Kwa Kigoma Mjini kazi ipo nazani unajua anapambana na wakina nani, uwezekano wa CDM na Zitto kugawana kura na CCM kushinda ni mkubwa sana
 
wewe unaona kama zitto kapotea utakua unaigiza wewe.huwezi kumlinganisha na huyo mzee wako unayemtegemea

Umewahi kumuona huyo mzee wangu anazomewa jukwaani kama anavyozomewa zzk kila anakokwenda?mwisho ni juzijuzi mjini iringa alipo aibika kwa kuzomewa
 
Utamuona tu muda si mrefu. Mpaka sasa hakuna mwanasiasa anayefikia level ya zitto.
Utamuona kwenye bunge lijalo na utashuhudia mambo mengi mazuri kutoka ACT.
Pamoja na kuwa wewe unachuki binafsi kwa zitto lakini tambua kuwa yeye hakuchukii bali anakupenda sana na anaamini ipo siku utakuwa Mzalendo.

Ajitokeze kwanza atufafanulie ki undani yale mapesa aliyolipwa na nssf yalikuwa ni ya kazi gani
 
maadamu Zitto hakutaka kufuata ushauri wetu sisi kina gogo la shamba tulipomshauri asiame chadema basi ndio mwisho wake kisiasa, hushauri kama huu tulimpa tena Slaa lakini tunashukuru Slaa ametuelewa
 
Kwa Kigoma Mjini kazi ipo nazani unajua anapambana na wakina nani, uwezekano wa CDM na Zitto kugawana kura na CCM kushinda ni mkubwa sana
Husifanye mchezo na ukawa,ukawa haina mpinzani kwa sasa
 
Baada ya uchaguzi act ndio kitakuwa chama kikuu cha upinzani baada ya cdm na cuf kugeuka vyama vya kifisadi

Act ni mali ya ccm hivyo baada ya uchaguzi vyote act na ccm watasambaratika kabisa
 
Halo hki chama kina weu yaani wanaenda kuchukua fomu pasipokuwa na mgombea? ACT sipati picha

Dhambi ya usaliti inawatafuna na hapo bado hadi watubu mbele ya watanzania
 
Form ya urais iko mfukoni mwa mwigamba anatembea nayo kama leso

Hahahaha usaliti mbaya sana utashangaa na fomu za ubunge watatupiana azitarudi NEC watatembea nazo kama leso mfukoni
 
Nafikiri huijui siasa, labda hujui maana ya dynamic. Kafulila alipofukuzwa cdm, wasiojua siasa walimsema kama wewe unavyomsema zitto.

Huwezi kumkinganisha kafulila na zzk hata kidogo,kafulilia ni kichwa anajua kujenga hoja na kuisimamia na hana tamaa za kijinga jinga
 
Umewahi kumuona huyo mzee wangu anazomewa jukwaani kama anavyozomewa zzk kila anakokwenda?mwisho ni juzijuzi mjini iringa alipo aibika kwa kuzomewa
Mkuu hiyo ajui jinsi gani yuda anavyopata tabu ya kuzomewa kuanzia tunduma iringa akipanda jukwani watu wanaimba yuda yuda yuda wasaliti ndio mwisho wao watasalitiana wenyewe kwa wenyewe kama kitila alivyokataa kuchukua fomu na ubunge watakataa hivyo hivyo
 
Hahahaha usaliti mbaya sana utashangaa na fomu za ubunge watatupiana azitarudi NEC watatembea nazo kama leso mfukoni

Mkuu jamaa wanajichanganya,yaani chama hakina kuheshimiana kama ukoo wa kambale kila mtu ana sharubu
 
Kwa mwana siasa au mfuatliaji wa siasa za hapa Tanzania jina la ZZK lilikuwa ni maarufu sana kupitia vyombo vya habari ikiwepo mitandao ya kijamii kipindi ZZK yupo ndani ya CHADEMA kwa kufuatilia mawazo na ushauri wake.

Lakini kwa sasa baada ya kuwa nje ya CHADEMA hatupati tena mawazo na ushauri wa aliyekuwa mwanasiasa mahiri mwenye hoja murua, nini kimekupata ZZK?
Amesahaulikaje wakati wewe bado unamkumbuka na hata kama akisahaulika si ndio vizuri kwenu chaggadema au mzimu wa Chacha Wangwe na Zitto bado unawapa maruweruwe.................
 
Amesahaulikaje wakati wewe bado unamkumbuka na hata kama akisahaulika si ndio vizuri kwenu chaggadema au mzimu wa Chacha Wangwe na Zitto bado unawapa maruweruwe.................

Mkuu jitahidi sana kuwa na heshima au hata kupiga magoti wakati wa kuitaja cdm,maana ndio chama dola tarajiwa for100% hivyo onyesha nidhamu kidogo
 
Back
Top Bottom