Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

mbona mkuu unatukana?
hujui kwamba matusi ni kipimo cha kupungukiwa hekima.
huwezi kujenga hoja bila ya kutoa lugha chafu?.

swali dogo naomba nisaidie,
hivi karibuni tumewashuhudia lowasa na sumaye wakiwa mahasimu wakubwa ktkt ccm,
Sumaye alitishia kuondoka kama lowasa angepitishwa,
nini kimewaunganisha?

Duniani kote hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa
 
Najua haya ndiyo maombi yako toka act inaanzishwa,
lakini hujui walioanzisha act waliona nini cdm subiri na wewe ukatwe kama
dr raisi wa moyo wako ndio uzajua cdm ina wenyewe.

Act ndio chama mbadala baada ya uchaguzi ndio chama kikuu cha upinzani.

Act?afadhali TLP ni chama kuliko hicho kisaccoss chenu cha mwandiga
 
Mimi binafsi namkubali sana Zitto Zuberi KABWE, jamaa ni mwana siasa wa kweli kwa kumlinganisha na hao wanasiasa wengine...........
Hana siasa za matusi , anajiamini na kuheshimu misingi ya Kidemokrasia, ana uchu wa madara kama kinafulani.........
Unajua kisa cha HAHMADI RASHIDI na CUF, Ni yaleyale yaliyomkuta Zitto kwa CDM....
Vyama vyenye wenye viti wa kudumu kama..............., ..................., ...................na.............!!sio rahisi kukubaliana na changamoto kutoka kwa wenye HOJA makii kama Zitto na HAHADI RASHIDI..
KAZI KUSEMA ni wafuasi wa lile kundi lingine
LIVE LONGER ZITO ZUBERI KABWE

Mwandiga saccos
 
Tushachoka xnaa hata mbowe akihama cye ukawa tuu ili ccm itoke miaka 50 bado tunazungumzia maj safi kwel huu si ulofa
 
mbona mkuu unatukana?
hujui kwamba matusi ni kipimo cha kupungukiwa hekima.
huwezi kujenga hoja bila ya kutoa lugha chafu?.

swali dogo naomba nisaidie,
hivi karibuni tumewashuhudia lowasa na sumaye wakiwa mahasimu wakubwa ktkt ccm,
Sumaye alitishia kuondoka kama lowasa angepitishwa,
nini kimewaunganisha?

Umenifanya nifikirie kwa sauti.

Hapo Mkapa JK na Makongoro Nyerere unawaweka wapi kwa speach zao za jana!?

Safi kabisa.
 
Tushachoka xnaa hata mbowe akihama cye ukawa tuu ili ccm itoke miaka 50 bado tunazungumzia maj safi kwel huu si ulofa

Wanafunzi wama kaa chini,wakati misitu tunayo kibao hapa nchini
 
Back
Top Bottom