Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Masikini Zitto Kabwe, umesahaulika kabisa

Kuna yule mama alichukua fomu siku ya kikao chao kwa mbwembwe siwampe agombee maana isije ikamchanikia mfukoni

Mkuu act ni zaidi ya kichekesho maana kila kukicha ni burudani
 
Tafuta ilani ya ACT-Wazalendo ndo utafahamu kasahaulika au la . Kwa taarifa yako yuko juu vibaya sana anazunguka nchi nzima kueneza sera za chama chake na azimio la Tabora ndo maana wananchi wengi wanajiunga na chama anachokiongoza. Sisi wananchi tunamsikia sana na kimsingi tunakubaliana naye na misingi ya kurudisha maadili ya Taifa tuliyoyapoteza.Unatumia chombo gani cha habari ndugu yangu? TBC ,STAR TV au ITV hivi huwa havina habari za Kiongozi huyu kwani vina mwelekeo wa CCM au CDM. KOMBAINI YA MAFISADI ,WEZI, WALA RUSHWA ,WASIOPENDA MABADILIKO, WADINI NA WAKABILA.

Hivi Mwl. Kaijage wapi siku hizi?
 
Hivi Mwl. Kaijage wapi siku hizi?

Inaonyesha Mwl Kaijage kalala mitini baada ya kuona hata afande seleeee anapewa uongozi wa juu wa chama wakati yeye ana ka certificate ka kusotea kasulu kwa miaka anawachwa mitandaoni
 
We jamaa unamkubali sana Zitto,sema basi tu,manake huwa unapenda umtaje kila siku japo unajitahidi kumtaja kwa kumponda,safi sana tusaidie kutufanya tumjadili

Zzk ni msaliti wa siasa za upinzani ambaye hawezi kusamehewa na wapenda mageuzi hapa nchini,huo ndio ukweli ingawa ni mchungu upokee tu hivyo hivyo mkuu
 
Makamamda Mufindi Kaskazini kamanda mmoja tayari kajisalimisha kwa Zitto.

Nyie endeleeni kujifariji watu wapo uwanja wa mapambano.

Teh teh teh

We ni mshabiki Wa chama gani?unakuwa kama Malaya vile kila mwanaume kwenye pochi anamkenulia mijino
 
Last edited by a moderator:
Ndo siasa hiyo mkuu! hata Slaa nae amesahaulika ndani ya chama baada ya Lowasa kuingia Chadema! Kwasasa gumzo ni Lowasa, sio Slaa tena!
 
Tatizo la ZZK ni kutaka kuishi maisha ya NJOZI za mchana, eti kuwa kama akina mwl nyerere, Nelson Mandela au kwame nkuruma. Msaniii! Maisha na mitazamo ya wazee hawa hakuna atakaye yaweza kwa kizazi hichi!

Tofauti kubwa na ya msingi kati ya zzk na hao uliowataja ni kuwa hao waasisi walikuwa wanyenyekevu licha ya mamlaka waliyokuwa nayo ila huyu zzk anakiburi na hana power
 
Tofauti kubwa na ya msingi kati ya zzk na hao uliowataja ni kuwa hao waasisi walikuwa wanyenyekevu licha ya mamlaka waliyokuwa nayo ila huyu zzk anakiburi na hana power

Katawaliwa na tamaa ya fisi
 
Naamini ndio sababu iliyo mfanya hasigombee kwao mwandiga inaonekana watu walisha mchoka na akasoma alama za nyakati kuwa wange mpiga chini kwa tabia zake hizo
 
Kwa mwana siasa au mfuatliaji wa siasa za hapa Tanzania jina la ZZK lilikuwa ni maarufu sana kupitia vyombo vya habari ikiwepo mitandao ya kijamii kipindi ZZK yupo ndani ya CHADEMA kwa kufuatilia mawazo na ushauri wake.

Lakini kwa sasa baada ya kuwa nje ya CHADEMA hatupati tena mawazo na ushauri wa aliyekuwa mwanasiasa mahiri mwenye hoja murua, nini kimekupata ZZK?

tamaa zilimponza na sasa ana haha ajui pa kutokea na ubunge nako hati hati kuupata
 
tamaa zilimponza na sasa ana haha ajui pa kutokea na ubunge nako hati hati kuupata

Huyoo jamaa kajichanganya kwa kuamua kwenda kugombea kigoma mjini kwa kila anacho kiita kuwa umaarufu wake unamtosha,kumbe hajui umaatufu huo alikuwa anaupata akiwa ndani ya cdm
 
Back
Top Bottom