cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,749
- 189,134
Wananifata nilipo.Dah ndo basi tena
Kwa hiyo huwa wanakufuata wapi
Wananifata nilipo.Dah ndo basi tena
Kwa hiyo huwa wanakufuata wapi
Hahaha, "isute"Mwee KUFIPA imekuwa isute ya chimpumu?[emoji23]
Nitakuja lakini mimi silambagiWananifata nilipo.
Karibu
Unaogopa kufokewa ovyo! 🤣🤣🤣Umeongelea madem na wanawake wa mtaani.
Vipi sisi tulio oa tunanyonya 'k' za wake zetu tunakuwa tunaogopa kuachwa au!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maisha niliyo yapitia na sehemu mbali mbali nilizo tembea katika harakati za kutafuta maisha nimegundua kuwa watu waopenda kuzama chumvini ni maskini hawana hela na hawana uwakika na maisha
Maskini anaogopa kuachwa na mwanamke hivyo anaamua kutumia njia mbadala (kuzama chumvini) ili kumpagawisha mwanamke ili tuu asiachwe
Huwezi ukawa na milion kazaa benki na ukawa na uwezo wa kuingiza pesa nzuri kwenye maisha yako alafu ukaenda kuzama chumvini
Maskini wengi wanatamani kurahisisha maisha kupitia mwanamke ..labda awe analelewa na jimama au awe anahudumiwa na mtoto wa kishua na ndio maana wanazama chumvini ili waonekane makonki kwenye mgegedo
Miaka ya nyuma niliwahi kuzama chumvini kwa mwanamke ambaye nilikuwa naogopa kuachwa nae lakini bado alikuja kuniacha tuu..sababu nilikuwa unga unga ,maisha ya maskani
Jambo la kuzama chumvini halitoweza kujirudia tena maishani mwangu ,kwa sasa naona niupuuzi ulio pitiliza..
Kama unatabia ya kuzama chumvini basi jijue wewe ni maskini mwenye maisha magumu ukipata hela utaacha tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa!switch Off,
Swala la kama chumvini ni art of love making we boya...jambo la msingi vigezo na masharti vizingatiwe...
1. Usafi kwa huwa manzi kuanzia nje na ndani...clean pants...nice shaved
2. Anavutia na kutia hamasa ya kuanza kula na mdomo kwanza kabla ya kupeleka gegedo..
3.kujiswafi vema kabla ya kuanza kuvunja hiyo amri ya sita
4.kipimo cha mkemia kidhibitishwe kwamba papuchi ipo katika hali nzuri..kwanza kupima oil na kusnif/kunusa...second kupitiliza kwanza kipindi cha ukaguzi...ukijiridhisha ruska kupiga deki...
Ukijirisha sana unaruhusiwa kufagia na uwani/nyonya washeli/tigo kabisa..though hili linahitaji nguvu ya ziada...mzembe mzembe hauwez kufanya hii
Ukiweza kufika hapa baharia unaondoka na nyota zako 3...na hiyo manzi akikuwaza tu lazima mwili umsisimke.
NB: hata ukimnyonya unaweza mwisho wa siku kuachika vile vile..so dont take things for granted...hususani ukiwa baaria..
OVAAAAAA....
Ewaaa!Pia ni uzuzu kuamini kuwa goli nyingi ni kumridhisha mwanamke.
Unaweza kukojoa hata goli ishirini na wala asikufurahie.
Wenye uzoefu hutafuta kumfikisha mwanamke na sio kumchafua mara nyingi.
Goli moja laweza kumfikisha na afurahi wiki nzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh!
Mimi mradi demu awe msafi... Nazama chumvini. Mwanaume halisi kabla ya yeye kuridhika lazima uhakikishe mpenzi wako ameridhika kwanza, haijalishi ni chumvini au wapi