Masikini ndio hupenda kuzama chumvini

Masikini ndio hupenda kuzama chumvini

Habari ndugu yangu. Mpaka hapo sijaelewa kuzama chumvini ndo nini.then nadhani ntakuwa na maoni yangu.
Et Kiduku Lolo hajui kuzama chumvini ni nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka Kama fara

Kizibo
 
We mwanamke wa uswahilini unawezaje kutumia neno shosti kwa mwanaume ...kwa upuuzi kama huo sahau mwaume mwenye pesa kuzama kwenye tundu lako ..yaani haiwezekani
Mswahili kapuku wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Afu wanaume wasokuwa na ela wanamaind vitu vidogovidogo hahahaaa nijue vizuri ndo uniite kapuku shoga angu weee
 
Wapo wenye pesa, heshima, mamlaka, nyazifa, na wanazama hadi topeni, chezea mapenzi weyeeeeeeh
 
Endelea kutafuta helaa mkuu,cc tutamnyonya mkeo atuletee pesa zako nasi tuwe matajiri ila nakuhakikishia hata tukiwa matajirjhatutaacha kuwanyonya
 
Back
Top Bottom