Masikini ndio hupenda kuzama chumvini

Masikini ndio hupenda kuzama chumvini

Kwenywe hii mada natamani sana Kiduku Lilo atoe ushuhuda wake kama mtoa mada yupo sahihi au anatudanganya tu sisi madereva wa bodaboda.

Sent from my DUB-LX1 using Tapatalk
 
Habari ndugu yangu. Mpaka hapo sijaelewa kuzama chumvini ndo nini.then nadhani ntakuwa na maoni yangu.


Kwenywe hii mada natamani sana Kiduku Lilo atoe ushuhuda wake kama mtoa mada yupo sahihi au anatudanganya tu sisi madereva wa bodaboda.

Sent from my DUB-LX1 using Tapatalk
 
Mie nina hela (sio maskini) na chumvini nazama Kama Sina akili nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo huyu mtoa mada anavyojiona yeye ndivyo anavyogeneralize. Hajui wengine tuna status gani na tunafanya mambo yanayofanywa na jamii zingine ambazo yeye hazikubali. Hii yote ni kuepuka status distinguishing.
 
Mwanaume yyte anaejua mapenzi huwa anazama me nimeona kwa wanaume 2 mmoja mhe. Anapenda kunyonyo huyooo hatari


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Saratani ipo tu bro, hata wanaokunywa vinywaji vya baridi sana in their lives wanaweza pia kupata saratani ya koo. Just put in your mind that anything too much is harmful mkuu.
Unaweza ukaikwepa ya koo ukaja kuipata ya ngozi, jicho, ini etc
Life style ya mtu ndio inayopelekea kupata tatizo flani, kikubwa ni kuwa moderate tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Kwamba tuendeshe magari kwa spidi kali kwa sababu mtu unaweza ukawa unatembea kwa miguu ukaparamiwa na mkokoteni ukafa...

Convoluted logic indeed [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Kwamba tuendeshe magari kwa spidi kali kwa sababu mtu unaweza ukawa unatembea kwa miguu ukaparamiwa na mkokoteni ukafa...

Convoluted logic indeed [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
You never understood what I real meant. By the way you look like you're academically advantaged then nashangaa kwanini hujaipata point yangu.
Should I perceive you otherwise Mkuu?
 
Umemaliza.

Mimi huyu nizame chumvini? Nimerogwa?

Mimi nafanya ngono kama starehe ya kunifurahisha sio ili nisiachwe au kumfurahisha mwanamke.

Nalipia ngono gharama yoyote nipate furaha sio nimfurahishe mtu ili asiniache.

Ukiwa huna hela utatumia kila mbinu kutaka kumretain mwanamke, mojawapo ni kuzama chumvini.

Kinywa changu ni cha thamani sana, siwezi hata siku moja kwenye maisha yangu kuingiza ulimi wangu kwenye uke, hata uwe unanukia namna gani.

Kwanza mwanamke atatoa wapi ujasiri wa kunitaka kizame chumvini? I pay to get sex kwa mwanamke ninaemtaka, anafanya nachotaka mimi.

Hilo moja, la pili bado niko sexually active, mwanamke asiporidhika na mshedede naompiga basi hawezi kuridhika kwa lolote, ulimi wangu hauwezi kua mbadala wa mshedede, uke SI unit yake ni mshedede na sio ulimi.

Vijana tutafte hela, ukiwa na hela you command terms, ukiwa huna hela inakua shida.
 
Ni ukweli mtupu. Laiti kama ningekua nipo mzuri kifedha nisingefanya kabisa huo upuuzi. Tunafanya ili kuwaridhisha hawa manzi tu mana hatuna njia nyengine.
 
Umemaliza.

Mimi huyu nizame chumvini? Nimerogwa?

Mimi nafanya ngono kama starehe ya kunifurahisha sio ili nisiachwe au kumfurahisha mwanamke.

Nalipia ngono gharama yoyote nipate furaha sio nimfurahishe mtu ili asiniache.

Ukiwa huna hela utatumia kila mbinu kutaka kumretain mwanamke, mojawapo ni kuzama chumvini.

Kinywa changu ni cha thamani sana, siwezi hata siku moja kwenye maisha yangu kuingiza ulimi wangu kwenye uke, hata uwe unanukia namna gani.

Kwanza mwanamke atatoa wapi ujasiri wa kunitaka kizame chumvini? I pay to get sex kwa mwanamke ninaemtaka, anafanya nachotaka mimi.

Hilo moja, la pili bado niko sexually active, mwanamke asiporidhika na mshedede naompiga basi hawezi kuridhika kwa lolote, ulimi wangu hauwezi kua mbadala wa mshedede, uke SI unit yake ni mshedede na sio ulimi.

Vijana tutafte hela, ukiwa na hela you command terms, ukiwa huna hela inakua shida.
Nashukuru umeungana na Mimi..
Tuendelee kuwaelimisha hawa vijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom