Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,173
- 26,910
Haimaanishi kuwa atakua amemkataa au kumkimbia mtoto atapo sepa. Lkn atakua amejiepushia balaa hilo la mke wake kutaka kulala nae kilazima. Inaelekea analengo lake tu jamaa apate ili waishi wote kama waathirika mana anahisi jamaa atasepa tu no way out.
Duuhh kazi kweli kweli, wakati mwingine mimi Huwa naamini hakuna ulevi mbaya kama DINI (mnisamehe kwa hili). Maana humwondolea mtu uwezo wa kufikiri kwa mantiki. Kwa hali ilivyo bora waachane (japo wengine huamini alichokiunganisha Mungu.....)
Si ndo maana mimi nimegoma kutafuta mchumba ndan ya makanisa ya kilokole,maana wanawake wengi walioko kule ni wale waliostaafu ukahaba,waliostaafu kuua kwa kutoa mimba...awashirikishe washenga na wazee
huyoo rafiki ni ndugu yakoooo auu naniliuu!!!!!!!!!! maana naona imekugusa mnoo!!!
sawa mkuu ila tupime jamani si dhambi
wakati napokea hizi taarifa nilipata shida mnoo kwwa jinsi kijana alivyokuwa anamwamini mkewe
Sikubali kumpa mwanaume bila kupima, vipimo vipo rahisi sana cku hizi, ukicheka na nyani ndo kuambulia mabua.
ndio maana kuna semi nyingi zinazopinga uaminifu wa wanawake, sidhani kama binti alikuwa hafaham afya yake au alikuwa ana mahusiano na kidumu chake angali bado yupo na mme mtarajiwa.
Mkuu miss chagga hebu nifafanulie kwanza haya maswali yangu. Tatizo hili zito la wanandoa wamekuambia wakiwa wote wawili au unapata maelezo ya upande mmoja,yaani kwa huyo kaka rafiki?? Je! Majibu ya kaka yako umeyathibitisha au anakueleza mwenyewe!? Ukinijibu ntarudi kutoa ushauri.nimeamini hakuna kiumbe kipole duniani nikikumbuka binti alivyokuwa kapole na mstaarabu lakini leo kawa kama mbogo
Tatizo ninaloliona hapa ni unyanyapaa...Mume kamnytanyapaa mkewe...Na hilo ndilo litamuathiri zaidi
Baba ampende mke wake...alale nae kitandani...atumie Condom kwa uangalifu mkubwa.....kama anampenda atamtimizia....kabla ya kumuingilia ahakikishe amekuwa tayari haswa....
Wapo watu wengi wanaishi na wenza wenye Maambukizi ...Lakini hawawatupi wenza wao....
Dada anatakiwa kufanyiwa Counselling ya kufa mtu....amechanganyikiwa sana...anatakiwa ajikubali
Habari zenu wana Jf,
Ni moja ya rafiki zangu ni kijana mkimya, mpole, mcha Mungu, ana heshima na mpiganaji katika kutafuta maendeleo, katika pilika pilika zake Mungu akampa binti mzuri, mpole, msikivu na mwenye adabu hapa ndipo mwanzo wa misha yao mpaka ndoa. Kwa sasa wana mwaka mmoja ndani ya ndoa yao na Mungu kawamjalia mwanamke kwa sasa anaujauzito wa miezi miwili katika ile hali ya kuugua ugua akaenda hospital.
Kinachosikitisha na kuhuzunisha ni kijana mwezi huu kagundua mkewe ni muathirika (VVU). Huyu rafiki yangu huwa na mwita kaka ili kukata mzizi wa fitina si unajua mabinti tulivyo. Baada ya kugundua hivyo nikaanza kumuuliza je hawakupima wakati wa maandalizi ya ndoa.? Majibu aliyotoa kiukweli ni huzuni eti hawakuona haja ya kupima kisa wote aliona wametulia na hakukuwa na hisia yeyeote ya uchepukaji na pia walikutana Kanisani.
Nilivyo fyoko fyoko nikauliza vipi mlianza kuzini kabla ya ndoa na mlikuwa mnatumia Condom? akaijbu ndiyo ili kuzuia mimba kwa hiyo walivyofunga ndoa tu wakaanza kunjunjana bila Condom bila hata kujua afya ya kila mmoja.
Mungu si nanjilinji bwana wee kijana hajaathirika kapima zaidi ya mara 7 kila akipima anaona negative kawa kama chizi akipita mjini akiona hospital anashuka anapima aamini majibu anayopata.Lakini kutokana na vipimo inaonekana ajaathirika, kaenda hospital na mkewe doctor wamempa namna ya kuishi na mtu wa VVU lakini ameshindwa kinachotokea kijana analala sebuleni mwanamke chumbani.
Kinachotokea mke kawa na gubu anamlazimisha mwanaume mapenzi (ngono) mwanume hawezi, jamani mimi nimeshindwa mshauri zaidi nilimwambia alale sebuleni au Mzungu wa nne mwanamke amegeuka moto anataka ngono bila hata condom. Jamani naombeni anayeweza toa njia nyingine ya kumsaidia kijana ili waishi at least kwa amani mwenye suluhu
Karibuni, ushauri
walishauriwa na moja ya njia ni kutumia kinga binti hataki hilo swala la kinga anasema ni dhambi
Habari zenu wana Jf,
Ni moja ya rafiki zangu ni kijana mkimya, mpole, mcha Mungu, ana heshima na mpiganaji katika kutafuta maendeleo, katika pilika pilika zake Mungu akampa binti mzuri, mpole, msikivu na mwenye adabu hapa ndipo mwanzo wa misha yao mpaka ndoa. Kwa sasa wana mwaka mmoja ndani ya ndoa yao na Mungu kawamjalia mwanamke kwa sasa anaujauzito wa miezi miwili katika ile hali ya kuugua ugua akaenda hospital.
Kinachosikitisha na kuhuzunisha ni kijana mwezi huu kagundua mkewe ni muathirika (VVU). Huyu rafiki yangu huwa na mwita kaka ili kukata mzizi wa fitina si unajua mabinti tulivyo. Baada ya kugundua hivyo nikaanza kumuuliza je hawakupima wakati wa maandalizi ya ndoa.? Majibu aliyotoa kiukweli ni huzuni eti hawakuona haja ya kupima kisa wote aliona wametulia na hakukuwa na hisia yeyeote ya uchepukaji na pia walikutana Kanisani.
Nilivyo fyoko fyoko nikauliza vipi mlianza kuzini kabla ya ndoa na mlikuwa mnatumia Condom? akaijbu ndiyo ili kuzuia mimba kwa hiyo walivyofunga ndoa tu wakaanza kunjunjana bila Condom bila hata kujua afya ya kila mmoja.
Mungu si nanjilinji bwana wee kijana hajaathirika kapima zaidi ya mara 7 kila akipima anaona negative kawa kama chizi akipita mjini akiona hospital anashuka anapima aamini majibu anayopata.Lakini kutokana na vipimo inaonekana ajaathirika, kaenda hospital na mkewe doctor wamempa namna ya kuishi na mtu wa VVU lakini ameshindwa kinachotokea kijana analala sebuleni mwanamke chumbani.
Kinachotokea mke kawa na gubu anamlazimisha mwanaume mapenzi (ngono) mwanume hawezi, jamani mimi nimeshindwa mshauri zaidi nilimwambia alale sebuleni au Mzungu wa nne mwanamke amegeuka moto anataka ngono bila hata condom. Jamani naombeni anayeweza toa njia nyingine ya kumsaidia kijana ili waishi at least kwa amani mwenye suluhu
Karibuni, ushauri