kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,090
- 454
Hapana mie sio great thinker mie mlala hoi hata shule sijaenda!! Lakini ndio mtoa kura
punguza kuvuta bangi za jioni, pia kuwa mweledi kuleta mada zenye hoja.Sasa katiba haijasema mtanzania atakuwa mtoa kura bali ni mpiga kura.Na shaka na kiwango chako cha ufahamu.Bunge si mahal pa ushindani wa vyama , bali ni mhali pa kuwasilisha maoni ya wananchi, kuwasemea na kuwatetea, kupitisha sheria, sera, kupitisha bajeti na kuisimamia serikali .hapa majadiliano ni kwa masilahi ya umma na si mashindano.Kupiga kupitisha bajeti kura ni jambo lingine lakini unapiga kura ya nini ?na kwa masiahi ya nani?kama ni kwa masilahi ya chama cha ccm.nakuambia hizo ni bangi , sababu bajeti inayopitishwa haitumiki kwenye vyama bali kwa wananchi wengine hata hawana chama, kama wewe unavyotumiwa vibaya ili ungange njaa.Nachelea kusema kama hujui kujenga hoja, acha kusumbua watu ili kukuelemisha.