Mzalendo K
Member
- Jun 22, 2012
- 32
- 13
- Thread starter
- #61
Ama kweli sikio la kufa alisikii dawa hivi bado Tz kuna watu mabwege kama wewe ? Alafu unajiita mzalendo .wabunge wa ccm wote ni wanafiki kama nape na dhaifu kama jakaya.
Kweli ujinga unaotokana na ukipofu uliosababishwa na Chaga Development Manifesto ni mbaya kuliko mauti. Hivi kama nyie nigreat thinkers kama mnavyojiita kwanini mnapinga kwa matusi na kejeli badala ya hoja!!!!!!