Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Huyu dogo BYABATO alikuwa ni kijana kichwa sana pale mjengoni.
Wana BUKOBA alikuwa na mbunge mwenye uweledi sana kuanzia maisha ya Elimu na heshima kwa jamii.
Lakini akakutana n a wabunge mapapa hasa pale alipo kuwa kwenye unaibu waziri chini ya January pale Nishati.
Leo hii masikini uteuzi ameutazamia kwenye luninga na wauza kahawa na tangawizi pale Nyakanyasi.
Makundi yamezima ndoto zake wakati umri wake bado unamruhusu.
Wana BUKOBA alikuwa na mbunge mwenye uweledi sana kuanzia maisha ya Elimu na heshima kwa jamii.
Lakini akakutana n a wabunge mapapa hasa pale alipo kuwa kwenye unaibu waziri chini ya January pale Nishati.
Leo hii masikini uteuzi ameutazamia kwenye luninga na wauza kahawa na tangawizi pale Nyakanyasi.
Makundi yamezima ndoto zake wakati umri wake bado unamruhusu.