Majasusi wa bamia akina
Yericko Nyerere ndio wamekutisha?
Huwa wanakua wapi pale Tanzania ndio mzalishaji pekee wa Tanzanite lakini kiwango kikubwa cha Tanzanite kipo nje ya Tanzania kwenye nchi isiyo na Tanzanite?
Ni maajabu hata pale Premier League tumeshindwa kuwa na label yetu ya "Visit Kilimanjaro" katika moja ya timu.
Leo kinchi kama Rwanda kimetuchapa fimbo katika ligi 3 kubwa ulaya wana lebo yao kwa Arsenal, PSG na Atletico de Madrid.
Majasusi wanajua kumsumbua Lissu na Heche na watu wanaolalamika mafuta kupanda ilhali Zambia inayopitisha mafuta hapo Mzizima wana bei ndogo.