Mashushushu wa JF

Mashushushu wa JF

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,088
Reaction score
842,969
Aliyetengeneza bunduki ya AK 47 kabla ya kifo chake alitubu na kujutia silaha yake ile.. Badala ya kuwa msaada vitani ikawa killing mashine iliyoteketeza mamilioni ya roho zisizo na hatia
Huko Selfika mitupio ilikuwa kwa ajili ya leisure 💪🏿💪🏿🔥

Halafu likatokea kundi hatari la mashushushu.. Likaanza kutengeneza na kuhifadhi mafaili ya watu..
Aisee don't mess up with them! Utaikimbia forum! Watazama kwenye server za na kuibuka na vitu vizito.. Vingine hata huvijui

Nimeshapewa warning.. "Mlozi tuna faili lako..."
1778492012707.jpg
 
Achana nao,isikushughulishe kabisa
Wakianika maisha ya mtu mwingine kuna kiasi gani cha pesa wanalipwa?

Nilishangaa sana member Fulani kujitokeza at nina file lako najua unawatoto wawili 😂😂😂 aah nikabaki kushangaa….ndiyo ninao…ni wanangu….so whaat? Ulitaka nitoe…au ulitaka niwe tasa…au nini yaan 🤷🏼‍♂️

Mambo yangu nayaweka hadharani mwenyewe then uniambie unafile langu…hakika kuna muda elimu haina msaada kwa watu wengine.

Jf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo.

Jf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo🗡
 
Achana nao,isikushughulishe kabisa
Wakianika maisha ya mtu mwingine kuna kiasi gani cha pesa wanalipwa?
Imagine watu wanajipa kazi ngumu
Nilishangaa sana member Fulani kujitokeza at nina file lako najua unawatoto wawili 😂😂😂 aah nikabaki kushangaa….ndiyo ninao…ni wanangu….so whaat? Ulitaka nitoe…au ulitaka niwe tasa…au nini yaan 🤷🏼‍♂️
Kwamba kua na watoto 2 ni exclusive 🤣🤣🤣
Mambo yangu nayaweka hadharani mwenyewe then uniambie unafile langu…hakika kuna muda elimu haina msaada kwa watu wengine.
mwenyewe useme mambo yako then mtu ajitie jasusi OMG 😲
Jf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo.
Noma sana
 
Achana nao,isikushughulishe kabisa
Wakianika maisha ya mtu mwingine kuna kiasi gani cha pesa wanalipwa?

Nilishangaa sana member Fulani kujitokeza at nina file lako najua unawatoto wawili 😂😂😂 aah nikabaki kushangaa….ndiyo ninao…ni wanangu….so whaat? Ulitaka nitoe…au ulitaka niwe tasa…au nini yaan 🤷🏼‍♂️

Mambo yangu nayaweka hadharani mwenyewe then uniambie unafile langu…hakika kuna muda elimu haina msaada kwa watu wengine.

Jf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo.
Hello madam
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom