Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 365,088
- 842,969
Aliyetengeneza bunduki ya AK 47 kabla ya kifo chake alitubu na kujutia silaha yake ile.. Badala ya kuwa msaada vitani ikawa killing mashine iliyoteketeza mamilioni ya roho zisizo na hatia
Huko Selfika mitupio ilikuwa kwa ajili ya leisure 💪🏿💪🏿🔥
Halafu likatokea kundi hatari la mashushushu.. Likaanza kutengeneza na kuhifadhi mafaili ya watu..
Aisee don't mess up with them! Utaikimbia forum! Watazama kwenye server za na kuibuka na vitu vizito.. Vingine hata huvijui
Nimeshapewa warning.. "Mlozi tuna faili lako..."
Huko Selfika mitupio ilikuwa kwa ajili ya leisure 💪🏿💪🏿🔥
Halafu likatokea kundi hatari la mashushushu.. Likaanza kutengeneza na kuhifadhi mafaili ya watu..
Aisee don't mess up with them! Utaikimbia forum! Watazama kwenye server za na kuibuka na vitu vizito.. Vingine hata huvijui
Nimeshapewa warning.. "Mlozi tuna faili lako..."