Mashushushu wa JF

Mashushushu wa JF

kabisa da mkubwa, sijui huo u "great thinker " upowapi, sema kwenye msafara wa mamba sikuzote kenge huwa hawakosi na kuna wengine tuna bahati ya kukutana na kenge kila kona alf mamba hawaonekani
kabisa da mkubwa, sijui huo u "great thinker " upowapi, sema kwenye msafara wa mamba sikuzote kenge huwa hawakosi na kuna wengine tuna bahati ya kukutana na kenge kila kona alf mamba hawaonekani
Kimekuramba😂
 
Aliyetengeneza bunduki ya AK 47 kabla ya kifo chake alitubu na kujutia silaha yake ile.. Badala ya kuwa msaada vitani ikawa killing mashine iliyoteketeza mamalioni ya roho zisizo na hatia
Huko Selfika mitupio ilikuwa kwa ajili ya leisure 💪🏿💪🏿🔥

Halafu likatokea kundi hatari la mashushushu.. Likaanza kutengeneza na kuhifadhi mafaili ya watu..
Aisee don't mess with them! Utaikimbia forum! Watazama kwenye server za na kuibuka na vitu vizito.. Confine hata huvijui

Nimeshapewa warning.. "Mlozi tuna faili lako..." View attachment 3588304
Vimba mkuu.. waambie mtu mzima hatishiwi nyau 😎

Naomba kuuliza izo file ni kama za epstein au ?🙃😁
 
sema humu JF kuna vi cycle vya kipuuzi mno watu wanasemana live live, kucheka na kusema mapungufu ya wenzio as if kuna alie mkamilifu,, mwanzoni wakati najoin sikuwahi kuviona ila baada ya kuanza kujichanganya na watu ndo nikaanza kuviona,,,

sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa😅 kiukweli najuta ila ndo hivyo yashatokea na wamezidi kunikuza,, bad enough ni kwamba mpka saiv nimepokea warning mbili ambazo sizielew,, ila freshiii itajulikana mwisho wacha niendelee kunywa mtori
Pole aisee, kati ya hao wawili wa hivyo kuna na kumi na na mia na maelfu tu watu wema kwa kila mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom