Mashushushu wa JF

Mashushushu wa JF

Mniombee kwa kweli, watu wana mafile yetu alafu wapo busy kulewa 😂

Mjukuu jifunzeni kuwa na vifua, mtatuua babu zenu walahi

Nasubiri kwa hamu hilo koti kwa kweli 😉
Babu mi kifua ninacho hata ukiaga unaenda kwa bibi yule mdogo

mi sisemi najua tu babu najaribu kilimo kipya sio kila siku tikitiki maji mimaji telee😅😅
 
Babu mi kifua ninacho hata ukiaga unaenda kwa bibi yule mdogo

mi sisemi najua tu babu najaribu kilimo kipya sio kila siku tikitiki maji mimaji telee😅😅
Afadhali presha yangu itashuka sasa, maana nilivyoona ile juzi unamweleza waiter akuongeze Savannah baketi ya tatu, nikajua sasa niage tu gudubai 😂
 
Kuna watu wametelekeza IDs humu kutokana na siri zao kuvuja/kuvujishwa

Wewe hadi unywe Jack Daniel ngapi ndiyo unalewa? Au hadi uchanganye na Kiko kubwa kama ya babu yako ndiyo unalewa 😂
😅😅😅😅 mimi silewi nikinywa Jack Daniel hata mia sijui why labda sasa nijaribu kiko kama ya babu😆😆
 
Mkwara kidogo file zote zimetiwa kibiriti😀😀😀😀😀
fa984d51-11eb-4c8f-9dd7-bb8180c536f5.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom