ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,309
- 41,057
sijaelewa
ooh kumbe ndo umemaanisha hivyo,,, watakoma wenyewe bwanaMy darling, kuna kitu kinaitwa nguvu ya mvutano
Kawaida negative energy haiwezi kuvuta positive energy
Nikiwa na maana, ulisema umekaribisha wapumbavu wawili kwenye maisha yako
So maana yangu ni kwamba kosa lako lilianza pale ulipomkaribisha huyo mpumbavu wa kwanza, maana ndiye aliyetumia energy yake hasi kumvuta mpumbavu namba 2
Na ukiendelea kuwafuga hao wapumbavu wawili, wataendelea kuvutana mpaka mpumbavu namba 3 aingie ndani 😄
Anaejiamini hapigi keleleeee🤭😅🏃♀️sasa je kuna uzi humu nimesahau ilikuwa full michambo tuu na kushusha failz za wengine
ukitaka kupigana njoo njoo sasa nikuonyeshe shoo,, mambo yangu yapo kwa vitendo
Hakuna namna 😅ooh kumbe ndo umemaanisha hivyo,,, watakoma wenyewe bwana
sema humu JF kuna vi cycle vya kipuuzi mno watu wanasemana live live, kucheka na kusema mapungufu ya wenzio as if kuna alie mkamilifu,, mwanzoni wakati najoin sikuwahi kuviona ila baada ya kuanza kujichanganya na watu ndo nikaanza kuviona,,,
sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa😅 kiukweli najuta ila ndo hivyo yashatokea na wamezidi kunikuza,, bad enough ni kwamba mpka saiv nimepokea warning mbili ambazo sizielew,, ila freshiii itajulikana mwisho wacha niendelee kunywa mtori
Mabinti zake Lutu kule mlimani wakiwa pekeyao na baba yao.. Waliona mzee anazeeka na wasipojiongeza ukoo utapotea..Hivi ni kweli kuwa ukilala na binti yako/dada yako unapata mali?
Wanasema kizuri kula na nduguyo et?!
Tuambie mtaalam!
ausio hzo nyimbo tamu bhn,, km na la ziada basi unapewa buku kwa vipi utanishinda una nn zoa zoaAnaejiamini hapigi keleleeee🤭😅🏃♀️
Kweli umempokea YesuMabinti zake Lutu kule mlimani wakiwa pekeyao na baba yao.. Waliona mzee anazeeka na wasipojiongeza ukoo utapotea..
Hivyo wakatengeneza mvivyo uluo bora wakampa akanywa akalewa .. Nao wakalewa
Kikubwa ni motive (lengo) pombe na mali ni visingizio
Baada ya Kaini kumuua ndugu yake Abel Mungu alimlaani na kumwambia aende nchi ya mbali
Huko alikutana na 'majitu' akazaa nayo ukoo ukaendelea..
Majitu hata Leo yapo kwakuwa hakuna tunapoambiwa yaliangamizwa...
Kuna majasusi. Ukimaliza kupost uwe unafuta post zote kabla ya kulala 😁kuna nini humu 😎
modds kwenye reaction hebu ongezeni ki imoj cha kushukuru 🙏 mfano ni hicho nilicho kiweka 😄Hakuna namna 😅
uzuri wote tutakufa😄😄Kuna majasusi. Ukimaliza kupost uwe unafuta post zote kabla ya kulala 😁
Ukitaka kupigana njooo😎ausio hzo nyimbo tamu bhn,, km na la ziada basi unapewa buku kwa vipi utanishinda una nn zoa zoa
Una hoja usikilizwemodds kwenye reaction hebu ongezeni ki imoj cha kushukuru 🙏 mfano ni hicho nilicho kiweka 😄
Hawana lolote hao mkuu 😁. Tukifungua hizo safe kuna report za tume tu uko
Ila tusije kufa kama epstein. Watu wakatunanga na file zetu ilhali hatupo kujitetea 😁uzuri wote tutakufa😄😄
wakiamua kukupika watakupika tu hata kama utetezi unao😄😄 siku yako ikifika imefika broooIla tusije kufa kama epstein. Watu wakatunanga na file zetu ilhali hatupo kujitetea 😁
Samahani hizo file zipo je kwani 😢Ila tusije kufa kama epstein. Watu wakatunanga na file zetu ilhali hatupo kujitetea 😁