Mashushushu wa JF

Mashushushu wa JF

Aliyetengeneza bunduki ya AK 47 kabla ya kifo chake alitubu na kujutia silaha yake ile.. Badala ya kuwa msaada vitani ikawa killing mashine iliyoteketeza mamalioni ya roho zisizo na hatia
Huko Selfika mitupio ilikuwa kwa ajili ya leisure 💪🏿💪🏿🔥

Halafu likatokea kundi hatari la mashushushu.. Likaanza kutengeneza na kuhifadhi mafaili ya watu..
Aisee don't mess with them! Utaikimbia forum! Watazama kwenye server za na kuibuka na vitu vizito.. Confine hata huvijui

Nimeshapewa warning.. "Mlozi tuna faili lako..." View attachment 3588304
baadhi ya AZAKI zilizochochea na zilizofadhili vurugu za Oct.2025,
waliwakusanya vijana na kuwafunza namna ya kufanya ugaidi na mwishowe wakawapatia vijana hao zana za kazi kama vile visu, mapanga, marungu, bastola na magobole ili wayatumie katika vurugu zile. Waliwapatia mpaka vifaa vya kupiga picha na video za unyama waliokua wanautekeleza.

Je,
baada ya uovu ule kudhibitiwa, kuna AZAKI inajutia kweli kwa kufadhili maafa yale yatokee kama alivyojuta mtengeneza AK47?
 
Sasa na nyie kwanin mjianike jamvini? Huo uzi kuna kipindi nilikuwa naushobokea nikaona unazua vita kuna kajamaa kalinifuata pm kujaribu kuniweka karibu nikajikata na uzi wenyewe nachungulia juu juu tu siku hizi nipo zangu majukwaa mengine.
Mimi cycle ya nje ya Jf inanitosha kabisa na sihitaji kufahamiana na yeyote humu.
 
baadhi ya AZAKI zilizochochea na zilizofadhili vurugu za Oct.2025,
waliwakusanya vijana na kuwafunza namna ya kufanya ugaidi na mwishowe wakawapatia vijana hao zana za kazi kama vile visu, mapanga, marungu, bastola na magobole ili wayatumie katika vurugu zile. Waliwapatia mpaka vifaa vya kupiga picha na video za unyama waliokua wanautekeleza.

Je,
baada ya uovu ule kudhibitiwa, kuna AZAKI inajutia kweli kwa kufadhili maafa yale yatokee?
Mdomo uliponza kichwa mkuu🙄
 
Kwa hio mleta mada unajutia kuanzisha ule uzi?
Hata hivyo umekuwa kilio maumivu fedheha na kila maudhi kwa wengi , haswa kipindi cha hivi karibuni, hakuna alie kuwa active kwenye uke uzi ambae hakufikiwa.

Hata hivyo pamaja na utu uzima walio nao baadhi ya member pale selfika wana utoto mwingi pia.
 
Sasa na nyie kwanin mjianike jamvini? Huo uzi kuna kipindi nilikuwa naushobokea nikaona unazua vita kuna kajamaa kalinifuata pm kujaribu kuniweka karibu nikajikata na uzi wenyewe nachungulia juu juu tu siku hizi nipo zangu majukwaa mengine.
Mimi cycle ya nje ya Jf inanitosha kabisa na sihitaji kufahamiana na yeyote humu.
Hatufanani mkuu,kupitia hili na lile kuna muda mambo yanaenda.Usiwadharau wanadamu wa jf,kuna watu tumenyanyuliwa kwenye changamoto na watu humu hata sura hatuwafahamu
 
baadhi ya AZAKI zilizochochea na zilizofadhili vurugu za Oct.2025,
waliwakusanya vijana na kuwafunza namna ya kufanya ugaidi na mwishowe wakawapatia vijana hao zana za kazi kama vile visu, mapanga, marungu, bastola na magobole ili wayatumie katika vurugu zile. Waliwapatia mpaka vifaa vya kupiga picha na video za unyama waliokua wanautekeleza.

Je,
baada ya uovu ule kudhibitiwa, kuna AZAKI inajutia kweli kwa kufadhili maafa yale yatokee kama alivyojuta mtengeneza AK47?
Daaah!
 
Achana nao,isikushughulishe kabisa
Wakianika maisha ya mtu mwingine kuna kiasi gani cha pesa wanalipwa?

Nilishangaa sana member Fulani kujitokeza at nina file lako najua unawatoto wawili 😂😂😂 aah nikabaki kushangaa….ndiyo ninao…ni wanangu….so whaat? Ulitaka nitoe…au ulitaka niwe tasa…au nini yaan 🤷🏼‍♂️

Mambo yangu nayaweka hadharani mwenyewe then uniambie unafile langu…hakika kuna muda elimu haina msaada kwa watu wengine.

Jf ni forum ya watu wazima lakini hatuoneshi utu uzima huo.
Utoto ni mwingi mno.
 
Sasa na nyie kwanin mjianike jamvini? Huo uzi kuna kipindi nilikuwa naushobokea nikaona unazua vita kuna kajamaa kalinifuata pm kujaribu kuniweka karibu nikajikata na uzi wenyewe nachungulia juu juu tu siku hizi nipo zangu majukwaa mengine.
Mimi cycle ya nje ya Jf inanitosha kabisa na sihitaji kufahamiana na yeyote humu.
Hako ka jamaa kalikua shushu nini 🤣
 
i'm sorry for truth gentleman
Hatupo kwenye siasa lakini ndugu yangu hamna uwezo wa kujisafisha na lile doa, lile ni jeraha lililo acha kovu la kudumu kwenu, hata mfanye nini hamtasafishika kamwe, hii si leo wala kesho au mtondogoo bali ni daima! Elewa daima.

Ila mkuu we piga kazi ndugu yangu, maisha si mepesi kabisa! Komaa hivyo hivyo maadam mkono uende kinywani , na kama unawategemezi mi nakuombea na kukutakia wepesi wa kazi yako na Mungu akufanikishe.
 
Daaah kilikuwa kijiwe chetu cha kuchit chat. Vidudu mtu sijui hata vilitokea wapi wakaharibu kila kitu. Ila jf ina viumbe jamani🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Aliyetengeneza bunduki ya AK 47 kabla ya kifo chake alitubu na kujutia silaha yake ile.. Badala ya kuwa msaada vitani ikawa killing mashine iliyoteketeza mamalioni ya roho zisizo na hatia
Huko Selfika mitupio ilikuwa kwa ajili ya leisure 💪🏿💪🏿🔥

Halafu likatokea kundi hatari la mashushushu.. Likaanza kutengeneza na kuhifadhi mafaili ya watu..
Aisee don't mess with them! Utaikimbia forum! Watazama kwenye server za na kuibuka na vitu vizito.. Confine hata huvijui

Nimeshapewa warning.. "Mlozi tuna faili lako..." View attachment 3588304
Bro Kuna mtu anahitaji Mganga konki huko
 
Mdomo uliponza kichwa mkuu🙄
Usingemjibu kabisa
b77f8b7d-694f-40e3-8f96-ffcb6b17e02f.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom