Sijutii mkuu mfano wa AK 47 unabaki kama ulivyo.. Ule uzi ni mzuri sana lakini kumbuka hakuna highway inayokosa kona miteremko na vibao vya tahadhariKwa hio mleta mada unajutia kuanzisha ule uzi?
Hata hivyo umekuwa kilio maumivu fedheha na kila maudhi kwa wengi , haswa kipindi cha hivi karibuni, hakuna alie kuwa active kwenye uke uzi ambae hakufikiwa.
Hata hivyo pamaja na utu uzima walio nao baadhi ya member pale selfika wana utoto mwingi pia.
HakikaUsingemjibu kabisaView attachment 3588330
Mkuu kikiboxer ni aina tu ya uandishi na kutaka kuamsha hoja hojajiSasa na nyie kwanin mjianike jamvini? Huo uzi kuna kipindi nilikuwa naushobokea nikaona unazua vita kuna kajamaa kalinifuata pm kujaribu kuniweka karibu nikajikata na uzi wenyewe nachungulia juu juu tu siku hizi nipo zangu majukwaa mengine.
Mimi cycle ya nje ya Jf inanitosha kabisa na sihitaji kufahamiana na yeyote humu.
Yaan inashangaza sana aiseeDaaah kilikuwa kijiwe chetu cha kuchit chat. Vidudu mtu sijui hata vilitokea wapi wakaharibu kila kitu. Ila jf ina viumbe jamani🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Umemuita Labella na cocastic au nimesoma vibaya..? Hahasema humu JF kuna vi cycle vya kipuuzi mno watu wanasemana live live, kucheka na kusema mapungufu ya wenzio as if kuna alie mkamilifu,, mwanzoni wakati najoin sikuwahi kuviona ila baada ya kuanza kujichanganya na watu ndo nikaanza kuviona,,,
sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa😅 kiukweli najuta ila ndo hivyo yashatokea na wamezidi kunikuza,, bad enough ni kwamba mpka saiv nimepokea warning mbili ambazo sizielew,, ila freshiii itajulikana mwisho wacha niendelee kunywa mtori
Weeee aisee😁Mwambie ataishia kutapeliwa maana mganga naye kaenda kwa mganga😂
kwanini?
sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa🗡sema humu JF kuna vi cycle vya kipuuzi mno watu wanasemana live live, kucheka na kusema mapungufu ya wenzio as if kuna alie mkamilifu,, mwanzoni wakati najoin sikuwahi kuviona ila baada ya kuanza kujichanganya na watu ndo nikaanza kuviona,,,
sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa😅 kiukweli najuta ila ndo hivyo yashatokea na wamezidi kunikuza,, bad enough ni kwamba mpka saiv nimepokea warning mbili ambazo sizielew,, ila freshiii itajulikana mwisho wacha niendelee kunywa mtori
Humu mtu anatafuta ukaribu nawe ili akufahamu then arudi chemba kusagana na wenziesema humu JF kuna vi cycle vya kipuuzi mno watu wanasemana live live, kucheka na kusema mapungufu ya wenzio as if kuna alie mkamilifu,, mwanzoni wakati najoin sikuwahi kuviona ila baada ya kuanza kujichanganya na watu ndo nikaanza kuviona,,,
sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa😅 kiukweli najuta ila ndo hivyo yashatokea na wamezidi kunikuza,, bad enough ni kwamba mpka saiv nimepokea warning mbili ambazo sizielew,, ila freshiii itajulikana mwisho wacha niendelee kunywa mtori
Utaona zaidi na zaidi 👀sema humu JF kuna vi cycle vya kipuuzi mno watu wanasemana live live, kucheka na kusema mapungufu ya wenzio as if kuna alie mkamilifu,, mwanzoni wakati najoin sikuwahi kuviona ila baada ya kuanza kujichanganya na watu ndo nikaanza kuviona,,,
Hatuna msaada na wewe wapuuzi wawili uliwapokea mwenyewe 🤣🤣sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa😅 kiukweli najuta ila ndo hivyo yashatokea na wamezidi kunikuza,, bad enough ni kwamba mpka saiv nimepokea warning mbili ambazo sizielew,, ila freshiii itajulikana mwisho wacha niendelee kunywa mtori
Majuto kweli huwa ni mjukuu, hahah.sema kuna makosa nimeyafanya mwishoni kuruhusu wapuuzi wawili kwenye maisha yangu, japo mwanzo sikuhisi kama watageuka mwiba nilihisi watakua sahihi na tungefika mbali ila matokeo yake waligeuka kuwa masnich wa kutupwa🗡
Hahaha, amekula spana mpaka akili imemkaa vizuri saiviUtaona zaidi na zaidi 👀
Hatuna msaada na wewe wapuuzi wawili uliwapokea mwenyewe 🤣🤣
Exactly 😁😁Humu mtu anatafuta ukaribu nawe ili akufahamu then arudi chemba kusagana na wenzie
Mdogo wangu huyo nampa ukweli mchunguHahaha, amekula spana mpaka akili imemkaa vizuri saivi
kabisa da mkubwa, sijui huo u "great thinker " upowapi, sema kwenye msafara wa mamba sikuzote kenge huwa hawakosi na kuna wengine tuna bahati ya kukutana na kenge kila kona alf mamba hawaonekaniHumu mtu anatafuta ukaribu nawe ili akufahamu then arudi chembe kusagana na wenzie