Mashujaa wa kweli Tanzania hawakumuogopa Hayati Dkt. Magufuli

Jifunze Kwanza kutofautisha L na R
 
 
Umeandika lakini kajifunze kiswahili vizuri ni taaluma na sio taaruma,ni walevi na sio warevi mwandiko wako tu.
 
CHADEMA WOTE...ukiwaondoa wapumbavu COVID 19.
 
Umeandika lkn kajifunze kiswahili vizuri ni taaluma na sio taaruma,ni walevi na sio warevi mwandiko wako tu ....
wapi hujaelewa mkuu,au unataka ukachukulie mkopo hayo maelezo!!!

mimi kusoma nimeshamaliza,niko nasaka ugali now.
 
Kwa mtu mwenye uelewa timamu lazima angemuogopa Magufuli maana alikuwa ni mgonjwa wa akili,na kichaa hana kesi ya kujibu ata akiua
 
Kwa kweli alikuwa ni "rahisi" mwenye kichaa... Hakuwa na akili ya kawaida. Nadhani waliokuwa karibu sana naye wanajua kuwa alikuwa kichaa...
 
Kwa kweli alikuwa ni "rahisi" mwenye kichaa... Hakuwa na akili ya kawaida. Nadhani waliokuwa karibu sana naye wanajua kuwa alikuwa kichaa...
Magufuli alikuwa ni psychiatric case kabisa na hili wenzake walilijua ndio maana walikuwa wanamuogopa,imagine unarudi kazini unamkuta kichaa sitting room na ana bastola...ndicho kilichotokea Tanzania
 
Bila kuwasahau wachochezi, wanaotumika na BEBERUS, waliokosa uzalendo, kama walivyokuwa wakidai yule dhalimu mwendazake na washirika wake, hapa jamvini, Twitter Republic na popote pale duniani.


Kigogo2014

Maxence Melo
Mange Kimambi
Ben Saanane...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…