Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 636
- 1,115
Jifunze Kwanza kutofautisha L na R1,lissu alikimbia na kudai hana imani na usalama alio nao.
3,kibatala ni wakili msomi ambaye anasimamia taaruma yake pekee,labda ungesema kama nayeye ni mwanaisiasa au mwanaharakati.ndio sababu amekuwa si muhanga muda wote.ukichanganya siasa na taaluma umechagua usumbufu...
Wanajamvi,
Kuna watu wanastahili nishani. Kukosa uoga kwao hakuelezeki. Wakati Mwendazake anafungwa watu, kuharibu biashara zao, kuwapakazia makosa yasiyokuwa na dhamana, na wengine kuuawa, hawa jamaa hawakunyaza kimya. Kilikuwa kipindi kigumu cha kuogopesha sana. Watu hawakuwa huru kuongelea serikali na siasa mbele ya watu wasiowafahamu. Hawa jamaa hawakuyumba. Hebu tuwataje...
nimejifunza miaka 34 iliyopita,kwa sasa niko busy na mambo ya msingi zaidi.Jifunze Kwanza kutofautisha L na R
Lissu ushujaa wake wote ila alikosa ushujaa wa kupinga kupewa fomu ya kugombea urais mtu aliyemwita fisadi.
Umeandika lakini kajifunze kiswahili vizuri ni taaluma na sio taaruma,ni walevi na sio warevi mwandiko wako tu.1,lissu alikimbia na kudai hana imani na usalama alio nao.
3,kibatala ni wakili msomi ambaye anasimamia taaruma yake pekee,labda ungesema kama nayeye ni mwanaisiasa au mwanaharakati.ndio sababu amekuwa si muhanga muda wote.ukichanganya siasa na taaluma umechagua usumbufu...
CHADEMA WOTE...ukiwaondoa wapumbavu COVID 19.Wanajamvi,
Kuna watu wanastahili nishani. Kukosa uoga kwao hakuelezeki. Wakati Mwendazake anafungwa watu, kuharibu biashara zao, kuwapakazia makosa yasiyokuwa na dhamana, na wengine kuuawa, hawa jamaa hawakunyaza kimya. Kilikuwa kipindi kigumu cha kuogopesha sana. Watu hawakuwa huru kuongelea serikali na siasa mbele ya watu wasiowafahamu. Hawa jamaa hawakuyumba. Hebu tuwataje...
wapi hujaelewa mkuu,au unataka ukachukulie mkopo hayo maelezo!!!Umeandika lkn kajifunze kiswahili vizuri ni taaluma na sio taaruma,ni walevi na sio warevi mwandiko wako tu ....
covid 19 ni kielelezo cha chadema wote walivyo,ishu ni nafasi ya kuingia sokoni ununuliwe ndio imewashinda wengi.CHADEMA WOTE...ukiwaondoa wapumbavu COVID 19.
Mkopo kwa upupu?wapi hujaelewa mkuu,au unataka ukachukulie mkopo hayo maelezo!!!
ya nini sasa yankuumiza kichwa na huna matumizi nayo!!!Mk
Mkopo kwa upupu?
Wanajamvi,
Kuna watu wanastahili nishani. Kukosa uoga kwao hakuelezeki. Wakati Mwendazake anafungwa watu, kuharibu biashara zao, kuwapakazia makosa yasiyokuwa na dhamana, na wengine kuuawa, hawa jamaa hawakunyaza kimya. Kilikuwa kipindi kigumu cha kuogopesha sana. Watu hawakuwa huru kuongelea serikali na siasa mbele ya watu wasiowafahamu. Hawa jamaa hawakuyumba. Hebu tuwataje...
Zamani wakati tunasoma Tulikuwa tunatolea mfano kwa kujibu mitihani ya Civics nchi za jirani kama za kidikteta ukiondoa Kenya.
Ilifika mahali Tzn ikawa kama hizo nchi, imagine Rais anatamka kwamba msiponichagua au kuchagua mtu wa Chama chake hata leta maendeleo,sasa huyu Rais sijui alipatwa na shetani gani
Na mleta UZI pia 😂
Missile of the Nation tuanzuishie uzi tujihesabu wale ambao tulipambana na Lumumba Buk 7 katika kumshambulia DIKTETA.Kigogo2014
Maxence Melo
Mange Kimambi..
Magufuli alikuwa ni psychiatric case kabisa na hili wenzake walilijua ndio maana walikuwa wanamuogopa,imagine unarudi kazini unamkuta kichaa sitting room na ana bastola...ndicho kilichotokea TanzaniaKwa kweli alikuwa ni "rahisi" mwenye kichaa... Hakuwa na akili ya kawaida. Nadhani waliokuwa karibu sana naye wanajua kuwa alikuwa kichaa...
Kigogo2014
Maxence Melo
Mange Kimambi
Ben Saanane...