Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,899
ππππMembe hapana....huyo Msaliti tu!
Sheikh Ponda Issa Ponda
Askofu Niwemugizi
Ruwa'ichi
Askafu Shayo
Askofu Bagoza
Freeman Mbowe
Mchungaji Msigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππMembe hapana....huyo Msaliti tu!
Sheikh Ponda Issa Ponda
Askofu Niwemugizi
Ruwa'ichi
Askafu Shayo
Askofu Bagoza
Freeman Mbowe
Mchungaji Msigwa
Chuo kinaitwaje mkuuchuo chake kule Lushoto wakakifungia!! Yule mzee alikuwa na roho mbaya mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hawezu sahaulika aiseeRoma Mkatoriki aisee msimsahau huyu jamaa
Sio tuu kutisha bali anakupoteza mazima kwa kunyima haki ya kuishiAisee hawa jamaa ni wazalendo kweli kweli. Magufuli alikuwa anatisha kama Dubu.
Mtu aliyesimama wazi wazi kumpinga kama TL tena akiwa mahakamani sio mtu wa kawaida
Roma mkatoliki, Ney wa Mitego, Jide Jaydee,Membe hapana....huyo Msaliti tu!
Sheikh Ponda Issa Ponda
Askofu Niwemugizi
Ruwa'ichi
Askafu Shayo
Askofu Bagoza
Freeman Mbowe
Mchungaji Msigwa
ππππRoma Mkatoriki aisee msimsahau huyu jamaa
Na Quinine wa jf.tindo wa jf pia.
Yaaa hapa umepatiaMDUDE NYAGALI
Daaa yule mnyampaaa ni kidumeTanzania nzima Mwanaume alikuwa mmoja tu Tundu Antipas Lissu na yeye Mwenyewe Magufuli.
Wengine wote tulikuwa tunacheza nyimbo zao.
Zamani wakati tunasoma Tulikuwa tunatolea mfano kwa kujibu mitihani ya Civics nchi za jirani kama za kidikteta ukiondoa Kenya.wajukuu zetu watakapofika vyuoni watakuja kumtumia mwendazake kama sample au subject katika maandishi yao ya kitaaluma.
hakika yule hakuwa binadamu wa kawaida, ni shetani.
keep resting in hell jpm.
Mimi pia nilimsambaratisha jiwe.
Mara nyingi watu huwa wanatofautiana mitazamo yani kwamba wewe unaweza kuchagua kumtizama mtu kwa mazuri yake na mwengine akachagua kutizama mabaya, pamoja na Udikteta wa Mwendazake na kusema alikuwa anatisha ila alipofariki wapo waliyofurahi na wapo waliyomwaga machozi kwa huzuni.wajukuu zetu watakapofika vyuoni watakuja kumtumia mwendazake kama sample au subject katika maandishi yao ya kitaaluma.
hakika yule hakuwa binadamu wa kawaida, ni shetani.
keep resting in hell jpm.
Ha ha Mdude alikuwa jasiri sanahakika huyu ndiye mwamba kuliko wote hapo juu,kwanza kabla hajamface jiwe,alikuwa anahakikisha analipuliza kwanza.
Mmoja kawa kilema mwengine kafariki.Toka Mwaka 2015 mpaka March 17 2021 wanaume walibaki wawili tu,TUNDU ANT-PASS LISSU na JOHN POMBE MAGUFULI.
Mpaka sasa nina uhakika 100% Tundulissu akifa Leo itatuchukua miaka mingi Sana kuzaliwa mtu wa aina yake
Hata Magufuli atamkumbuka huko alikoπππ
Hawa vidume kila mmoja alikuwa tayari kufa kwa kusimamia anachokiamini,bad luck dhaifu zaidi ndio kafariki!Ila hakika wameingia kwenye historia ya Tanzania.
Na mleta UZI pia πHuyu naye wa keyboard...
Hebu jaribu kuwabadilisha nafasi zao, yani mweke Mwendazake nafasi ya Lissu kisha mpe Lissu nafasi ya Urais.Toka Mwaka 2015 mpaka March 17 2021 wanaume walibaki wawili tu,TUNDU ANT-PASS LISSU na JOHN POMBE MAGUFULI.
Mpaka sasa nina uhakika 100% Tundulissu akifa Leo itatuchukua miaka mingi Sana kuzaliwa mtu wa aina yake
Hata Magufuli atamkumbuka huko alikoπππ
Hawa vidume kila mmoja alikuwa tayari kufa kwa kusimamia anachokiamini,bad luck dhaifu zaidi ndio kafariki!Ila hakika wameingia kwenye historia ya Tanzania.
siasa sio dhihaka.Hebu jaribu kuwabadilisha nafasi zao, yani mweke Mwendazake nafasi ya Lissu kisha mpe Lissu nafasi ya Urais.
Umeona hapo.
Unazani mmoja bila dola angeweza fanya siasa?
Jiwe was a coward not a manTanzania nzima Mwanaume alikuwa mmoja tu Tundu Antipas Lissu na yeye Mwenyewe Magufuli.
Wengine wote tulikuwa tunacheza nyimbo zao.