Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
uarabuni wataomba vita iendelee mapunga wapya kutoka marekani shee vita itaamia saudi
Uarabuni hawana shida na biashara hiyo, vinginevyo hawana sababu ya kusubiri mpaka vita vipiganwe ! wangeunda "genge lao" la watu kumi na mbili kama hapo juu (wanawake 4 na wanaume 8) na mmoja wapo atie signature kama hapo juu, then shughuli ianze ! mwenye kutoa sawa au mwenye kupokea sawa!