TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Ha ha ha aha aaaaaaa!!! Kivumbi huko Iraq na Afghanistan.
Mh!unamaanisha huko kuna mabasha wengi sana?
Ha ha ha aha aaaaaaa!!! Kivumbi huko Iraq na Afghanistan.
kivipi sasa? bongo kuna mashoga wangapi wako saluni wanawasuka? au bata akinya kaharisha sio
......... Nimefarijika ndugu yangu kwa kuyaona haya maandiko, sisi haya hakika tunayafahamu na hukumu yake pia .................. lakini ukitekeleza hiyo hukumu, basi utaitwa hayo majina niliyo taja (extremist, fundamentalist, mujaheedin na kdhlk) cha kushangaza kuna mataifa yenye historia na Ustaarabu wa kumjua mungu, lakini yamengia katika mtego! ( kama Lebanon)
Obama hua anadai ni mshika Dini, mshika Dini haogopi kupambana na ukweli. Wengine waliuliza World Cup itachezwa nchi ya Kiarabu (Qatar 2022) hivyo wao hawata ruhusiwa kwenda, hivyo kwanini wasifutiwe? Utashangaa wapo walio support !
afadhali maana nao ni binadamu
Tigger hapa unajaribu sana kuwaelimisha watu, I admire that. One thing you have to know: wabaguzi ni watu wa kipuuzi sana, anything which is not like them basi sharti wabague, mtu akiwa different kulingana na wao basi lazima abaguliwe. These people are ****** and they can be found all over the world, katika miaka ya nyuma walikuwa wanajifunika vitambaa vyeupe usoni na kuwasha moto nyumba za watu weusi, mwaka 1994 walikuwa wanawafanyizia wananchi wenzao nchini mwao kisa sijui wana pua nyembamba na kabila lao ni hili badala la lile, mwaka huu wanaleta za kuleta eti hawa wana orientation nyingine apart from being straight, kesho watasema aah huyu amekaa miaka mingi sana nje ya nchi even though ni mwenzetu lakini sharti tumbague..., these people are ******. I wish I could meat them ana kwa ana and teach them some lessons.
Wote mnaoponda hii ni wapuuzi tu. Ni ile ile tuliyowahi kuonywa, ukianza kumbagua shoga then utaishia wapi kubagua?utambagua mwingine kwa rangi ya ngozi,then wengine kwa upana wa pua, wengine sijui kwa ajili ya nini, mtasema oo huyu sijui muhindi, ooh huyu sijui hatoki Mwanza , ooh sijui huyu ana kipilipili.... Kwa hiyo nyie wote mnaobagubagua tu kwa sababu mnazozijua wote nyie ni wapuuzi tu. Ndio ni wapuuzi bisheni sasa.
Wengi wenu mna miss kabisa pointi ya ku repeal DADT! Mnawaona wenzenu kaa wendawazimu wakati wanapiga hatua ktk kuhakikisha kile kilichotamkwa ktk azimio lao la uhuru kuwa binadamu wote ni sawa kinatimia.
Wamarekani wako mbele sana kwenye kuhakikisha hakuna ubaguzi wa aina yoyote ile kwa na baina ya raia wao. Mwaka 1964 walitunga sheria ya Civil rights ambayo ili outlaw mambo mengi ya kibaguzi yakiwemo ubaguzi wa rangi na jinsia.
Sasa wamekabiliana na suala la ubaguzi wa mwelekeo wa kijinsia halafu ninyi mnawaona kaa wendawazimu! Yaani mnataka watu wenye mwelekeo tofauti wa kijinsia ambao wako radhi kuweka maisha yao hatarini kulilinda taifa lao wabaguliwe na wasipate fursa ya kulitumikia taifa lao? Come on guys. Hiyo si haki kabisa. Mashoga na wao ni binadamu kama wengine na wanastahili heshima kama wengine.
Halafu kwani kwenye jeshi la Tanzania hakuna mashoga? Nani hapa anayeweza kuja na kuthibitisha hilo? Au kwenye mishe mishe zenu za kila siku mna uhakika gani kuwa hamdili na mashoga? Hivi siku ukiumwa na uko mahututi na ukajua daktari anayekuhudumia ni shoga utakataa huduma yake? Acheni fikra za kibaguzi bana. Ubaguzi hauna nafasi kwenye jamii yoyote ile ilostaarabika.
sijakupata hapo ndugu yangu, unaweza kufafanua kidogo!
kivipi sasa? bongo kuna mashoga wangapi wako saluni wanawasuka? au bata akinya kaharisha sio
mnh mbona mashoga hata hapa kwetu wapo,mmeusimamia kidedea ushoga wa marekani wakati hata hapa kaka zenu wanafanya mambo ya kishoga nyie vipi???
mashoga ni watu kama nyie...what one does in his bedroom remain none of you-r,mother ****ing bussiness!!!...ni choice ya mtu kuwa gay,kama ilivyo choice ya mtu kuwa na dini fulani kuwa na misimamo fulani katika maisha! just because your straight doesnt give you right to think you are more important than others(gay)!
Tuangalie kamusi zetu za Kiswahili kama neno Ushoga lina maana ya kujamiiana kati ya mume na mume. Neno halisi lipo la group hili.
Wote mnaoponda hii ni wapuuzi tu. Ni ile ile tuliyowahi kuonywa, ukianza kumbagua shoga then utaishia wapi kubagua?utambagua mwingine kwa rangi ya ngozi,then wengine kwa upana wa pua, wengine sijui kwa ajili ya nini, mtasema oo huyu sijui muhindi, ooh huyu sijui hatoki Mwanza , ooh sijui huyu ana kipilipili.... Kwa hiyo nyie wote mnaobagubagua tu kwa sababu mnazozijua wote nyie ni wapuuzi tu. Ndio ni wapuuzi bisheni sasa.