GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,904
- 4,666
WAKUU HESHIMA MBELE!
kama kuna mdau yeyote anayejua mahali zinapopatikana mashine za kushonea mifuko (viroba), dukani, used au kukodi; kwa packing za product kama mchele, unga N.K.
pia kama kuna mwenye ujuzi wa matumizi ya mashine hizo, naomba anipe mwangaza zaidi!
nipo Tunduma, nipo tayari kuifuata mkoa wowote itapopatika, provided nimemudu bei itakayotajwa!
thanks in advance,
i submitt!
kama kuna mdau yeyote anayejua mahali zinapopatikana mashine za kushonea mifuko (viroba), dukani, used au kukodi; kwa packing za product kama mchele, unga N.K.
pia kama kuna mwenye ujuzi wa matumizi ya mashine hizo, naomba anipe mwangaza zaidi!
nipo Tunduma, nipo tayari kuifuata mkoa wowote itapopatika, provided nimemudu bei itakayotajwa!
thanks in advance,
i submitt!