Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Nmeamini kuwa mshana jr ndiye scorpion, last seen ilkuwa tar 8 ambapo tar 11 scorpion aliwekwa kolokoloni, leo mahakama imefuta kesi yake, na mshana jr ameanzisha uzi.

Pole kwa yaliyokukuta mkuu, karbu sana
 
Hadi koo limenikauka kusikia gongo.Yani nimeimiss itabidi weekend hii niitafute popote pale
 
Faki kakuta watu wanabishana bar kuhusu kupiga tarumbeta mzinga mkubwa wa konyagi Faki kasema dogo hilo sisi unguja twanywa ttende! watu Faki wewe Faki akachukua ule mzinga akawa amekaa penye stuli ndefu pale kaunta Faki kapiga tarumbeta kushusha chini mzinga tupu baada ya dakika kadhaa Faki kaanza kuyumba penye stuli waungwana wakamdaka na kumpeleka kwake Faki hakupata nafuu mpaka anakufa siku iliyofuatia.
 
Nmeamini kuwa mshana jr ndiye scorpion, last seen ilkuwa tar 8 ambapo tar 11 scorpion aliwekwa kolokoloni, leo mahakama imefuta kesi yake, na mshana jr ameanzisha uzi.

Pole kwa yaliyokukuta mkuu, karbu sana
Hahhahahaaaa
 
Duh!,hatari,ilikuwa namba moja nn ambayo ukiiweka kwenye kbatar kinawaka
 
Wangempa mshindi wapili hiyo elfu 2 akajiuguze inanikumbusha mwaka 2000 mtaani kwetu kulikuwa na mashindano ya kunya maziwa ya moto kwa dk tano mshindi alikuwa anapewa elfu 10 jamaa alishinda lakini hela yote iliisha kwa ajili ya kujiuguza anadai alikuwa anaona tumboni kama kuna tanuli la moto na ulimi umebanikwa kwenye moto mpaka mwisho wa siku alitumia elfu 30 kujiuguza ilihali yeye alishinda elfu 20
BONGO KUNA MAMBO UJUE
 
Marehemu wamzike na chupa zake za gongo na sh 2000 yake kama kumbu kumbu yake huko jehanamu
 
Ngoja nitaleta audio tukio kama hilo maeneo ya Mwena - Masasi mkoa wa Mtwara
 
Back
Top Bottom