wambeke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 2,655
- 2,650
ndie alikuwa JajiMkuu ulihudhuria Mpambano huo?
ndie alikuwa JajiMkuu ulihudhuria Mpambano huo?
🙂 🙂 🙂 supu ya maninja si mchezo ile, inabidi marehemu azikwe na medali
Post kama hii utaikuta JF pekeeeHuko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo
Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati...
Kipindi hiki washiriki walikuwa wanne ambapo kipenga cha kwanza washiriki wote waliweza kumaliza mizinga ya kwanza
Kipenga cha pili mshindi wa pili alichemsha
Kipenga cha tatu wakabaki wawili na kipenga cha mwisho Marehemu Chande ndio akaibuka mshindi kwa kumaliza mizinga yote mine lakini hakuweza kupokea zawadi yake ya Tsh 2000/= kwakuwa alianguka na kufariki dunia huku mshindi wa pili akiwa hoi
Unajua watu wanaoishi Dar wengi hawajui maisha ya sehemu za vijjini hususani kusini huko. Huko sh 2,000 ni fedha nyingi sana. Kuna jamaa alikwenda kwenye msiba maeneo hayo akasema wao pombe kuu ni gongo. Akasema aliwanunulia vijana fulani debe moja la pombe ya gongo wakamuona ni mfadhili wa nguvu sana. Kama nakumbuka vizuri alisema bei ilikuwa 1500.Ni elfu mbili kamili 2000/=
Denis nipe story vizuri namna inavokuwa kunya maziwa ya moto!!!!!Wangempa mshindi wapili hiyo elfu 2 akajiuguze inanikumbusha mwaka 2000 mtaani kwetu kulikuwa na mashindano ya kunya maziwa ya moto kwa dk tano mshindi alikuwa anapewa elfu 10 jamaa alishinda lakini hela yote iliisha kwa ajili ya kujiuguza anadai alikuwa anaona tumboni kama kuna tanuli la moto na ulimi umebanikwa kwenye moto mpaka mwisho wa siku alitumia elfu 30 kujiuguza ilihali yeye alishinda elfu 20