Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Nasikia mashetani yanatabia ya kuwala wamiliki nikajua mshana jr alishatangulizwa
Any way karibu
 
Nasikia mashetani yanatabia ya kuwala wamiliki nikajua mshana jr alishatangulizwa
Any way karibu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji134] [emoji134] [emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wakati nakua nlimezeshwa sumu kwamba waislamu hawagusi pombe mbali kabisa na kuibwia kuigusa tu ni dhambi kubwa sana RIP Abdalah[emoji24]
 
Huko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo
Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati...

Kipindi hiki washiriki walikuwa wanne ambapo kipenga cha kwanza washiriki wote waliweza kumaliza mizinga ya kwanza
Kipenga cha pili mshindi wa pili alichemsha

Kipenga cha tatu wakabaki wawili na kipenga cha mwisho Marehemu Chande ndio akaibuka mshindi kwa kumaliza mizinga yote mine lakini hakuweza kupokea zawadi yake ya Tsh 2000/= kwakuwa alianguka na kufariki dunia huku mshindi wa pili akiwa hoi
 
Hiyo kule Masasi inaitwa NIPA (never interfear peoples affairs) ni shida hiyo kitu.Hakuna pombe hatari nchi hii kama hiyo kitu.Unaweza choma nyasi mbichi kwa moto ukimwagia hiyo kitu.Ukimwaga tu nyasi zinakauka na unachoma moto.
 
Bora umerudi wengine midomo ilishanuka kwa kununa. Hahahaha. Ulikuwa kwenye huo mpambano nini isijeikawa ndo umemaliza Drip ya kumi? Joke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1476860802572.jpg
 
Kuna tukio km hilo miaka ya 90 pale mtaa wa amani moro kuna mpiga debe alikunywa gongo kwa mama muuza mpk akazima. Wakamuweka kwenye stoo ya pombe jamaa alipostuka aliona bomba LA mpapai mle ndani akaingiza kwenye dumu LA Lita tano. Asubuhi jamaa wamemkuta kakauka na pombe IPO robot tatu.
Hao walidhamilia kummaliza. Kweli mlevi umfungie kwenye ghala la pombe sawa na mwizi mfungie kwenye safe.
 
Back
Top Bottom