Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Mashindano ya kunywa gongo yaondoka na mshindi

Duh kiroba nimekitambua na chupa ya kileo na limau, vingine ni maluelue tu. Chin chin labda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbegu za tikiti zimekaushwa zikakaangwa
 
Nahisi ni laki mbili, sio Alf mbili, angalia vizuri
 
Huko Mtwara jamaa mmoja ajulikanaye kama Abdlah Chande amefariki dunia baada ya kuibuka mshindi wa kunywa mizinga minne ya gongo
Kijijini Likolombe mashindano haya yapo kila wakati...

Kipindi hiki washiriki walikuwa wanne ambapo kipenga cha kwanza washiriki wote waliweza kumaliza mizinga ya kwanza
Kipenga cha pili mshindi wa pili alichemsha

Kipenga cha tatu wakabaki wawili na kipenga cha mwisho Marehemu Chande ndio akaibuka mshindi kwa kumaliza mizinga yote mine lakini hakuweza kupokea zawadi yake ya Tsh 2000/= kwakuwa alianguka na kufariki dunia huku mshindi wa pili akiwa hoi
Nani aliyetoa kibali ? Waandaaji ni kina nani ?
 
Hili tukio linanikumbusha 31.12.2012. Jamaa alidai anaweza kunywa bia za Banana kumi ili hali tayari alishalewa.

Aka ahidiwa elfu 20 kama angeweza kumaliza banana 10, naye bila ubishi akaanza kupiga moja moja.

Alipofikisha ya tisa alitapika complex mixture kali sana, robo saa baadae akafa pale pale.

Bia hakumaliza, 20,000 hakupata, wala mwaka mpya hakuuona.Pombe siyo ndugu yako.
Nimecheka sana....afu ukishalewa akili inapungua kufanya judgement
 
Kuna tukio km hilo miaka ya 90 pale mtaa wa amani moro kuna mpiga debe alikunywa gongo kwa mama muuza mpk akazima. Wakamuweka kwenye stoo ya pombe jamaa alipostuka aliona bomba LA mpapai mle ndani akaingiza kwenye dumu LA Lita tano. Asubuhi jamaa wamemkuta kakauka na pombe IPO robot tatu.
Mtaniua mm jaman [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom